Bora miaka 50 ya CCM kuliko miaka 5 ya UKAWA

Bora miaka 50 ya CCM kuliko miaka 5 ya UKAWA

maramia tushabikie ubovu wa ccm kuliko upuuzi wa wapinzani haswa Cdm kiukweli kila mtu anapenda wapinzani washike nnchi lkn c hawa wabaguzi wanafiki magaidi na kutokukubali challenge wanao taka fikra za mwenyekiti kudumu...... wapuuzi wapizani hata mie nakusapoti japo si ccm

Mbowe na Slaa ni matapeli wa siasa, na wametoa rushwa hawafai kuwa viongozi.
 
Salaam wana jf,

Amma baada ya salam naomba kuwasilisha maoni ya waliowengi kama ifuatavyo.

CCM imefanikiwa kutuongoza kuanzia Chama na serekali mpaka vyama vingi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 sasa tulio wengi tume enjoy amani,utulivu na mshikamano.

Tumepita kwenye changamoto mbalimbali na nyingi tulizishinda mpaka sasa nchi yetu imekuwa mfano wa kuigwa dunia nzima, usiposhuru dogo hata kubwa huwezi kushukuru.

Lakini sio wananchi pekeyake hadi wanyama tunaowafuga na kwenye hifadhi zetu wote wame enjoy hali tulivu kiasi cha marais wa marekani kufikia hatua na kusema amma hakika NGORONGORO ni pepo ya wanyama.

Lakini waswahili wanasema 'SHUBIRI HUONJWA' kuna kundi la wanasiasa linajiita UKAWA nasema wanajiita kwasababu hakuna katiba ya UKAWA wala USAJILI wala OFISI isipokuwa tunajua kwamba wanatoka kwenye vyama vikuu vya upinzani.

Lakini ikiwa kushika nafasi yapili kwenye uchaguzi mkuu tayari watu wengine wanamili nyumba3,kasri dubai,bilions uswizi,wengine wameitwa wasaliti na wengi kupigwa matofali.

Hata hujitambui wewe!una enjoy nini wakati ukiugua hapa utaanza kuomba michango upelekwe india ukatibiwe?
 
Jinga ww,umeona wananchi wanavyoteseka kwa umasikini uliokithiri huku?Mnaongea tu upuuzi Mungu atawalaani.
 
Huo mpira unaokoa watu na hasa hasa kama wewe.

Ccm wanautumia kisha kuosha na kutumiwa na mtu mwingine kama wewe.Hembu nenda leo pale ocean road hospital hakuna dawa mashine ya mionzi mbovu halafu unashabikia wauaji.Pesa za vikao safari hazikosekani ila huduma muhimu unaambiwa fungu hakuna subiri bajeti bajeti yenyewe inatoka 25% tuu mwaka unaisha waheshimiwa wanakutana tena kutengeneza bajeti mpya.Mbona hamsemi pesa ya posho ya vikao vya bunge hakuna?
 
Jinga ww,umeona wananchi wanavyoteseka kwa umasikini uliokithiri huku?Mnaongea tu upuuzi Mungu atawalaani.

Uchungu unaoonyesha angekuwa nao Mbowe na Slaa ingekuwa afadhali, lakini wenzako wanapiga hela we unatokwa povu. Mwambie babu aache kulipwa hela kibao kama mbunge na ni ruzuku itokanayo na kodi zetu, mwambie mbowe aache kuwauzieni malori mabovu na kuwakopesheni hela kwa riba kubwa, mwambie Lema zile ambulance alizopewa Ujerumani azitoe kwa wananchi kama alivyoahidi. Mafisadi wakubwa CDM.
 
maoni ya wengi ? maoni ya magamba au wananchi wa Tanzania
 
Ccm wanautumia kisha kuosha na kutumiwa na mtu mwingine kama wewe.Hembu nenda leo pale ocean road hospital hakuna dawa mashine ya mionzi mbovu halafu unashabikia wauaji.Pesa za vikao safari hazikosekani ila huduma muhimu unaambiwa fungu hakuna subiri bajeti bajeti yenyewe inatoka 25% tuu mwaka unaisha waheshimiwa wanakutana tena kutengeneza bajeti mpya.Mbona hamsemi pesa ya posho ya vikao vya bunge hakuna?

Kwani wabunge wanaochukua posho ni wa ccm peke yao?! Na kuhusu ocean rd na sijui mionzi, blah blah blah UKAWA ndio wanaleta mashine za mionzi? Acha kutumiwa jitambue.
 
Kwani wabunge wanaochukua posho ni wa ccm peke yao?! Na kuhusu ocean rd na sijui mionzi, blah blah blah UKAWA ndio wanaleta mashine za mionzi? Acha kutumiwa jitambue.

Ni nani anayepanga vipaumbele vya matumizi ya fedha za serikali?serikali iliyochini ya chama gani?
 
Salaam wana jf,

Amma baada ya salam naomba kuwasilisha maoni ya waliowengi kama ifuatavyo.

CCM imefanikiwa kutuongoza kuanzia Chama na serekali mpaka vyama vingi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 sasa tulio wengi tume enjoy amani,utulivu na mshikamano.

Tumepita kwenye changamoto mbalimbali na nyingi tulizishinda mpaka sasa nchi yetu imekuwa mfano wa kuigwa dunia nzima, usiposhuru dogo hata kubwa huwezi kushukuru.

Lakini sio wananchi pekeyake hadi wanyama tunaowafuga na kwenye hifadhi zetu wote wame enjoy hali tulivu kiasi cha marais wa marekani kufikia hatua na kusema amma hakika NGORONGORO ni pepo ya wanyama.

Lakini waswahili wanasema 'SHUBIRI HUONJWA' kuna kundi la wanasiasa linajiita UKAWA nasema wanajiita kwasababu hakuna katiba ya UKAWA wala USAJILI wala OFISI isipokuwa tunajua kwamba wanatoka kwenye vyama vikuu vya upinzani.

Lakini ikiwa kushika nafasi yapili kwenye uchaguzi mkuu tayari watu wengine wanamili nyumba3,kasri dubai,bilions uswizi,wengine wameitwa wasaliti na wengi kupigwa matofali.


Unaongea kitu gani aise?? hujui wala huoni tofauti ya Ukawa na CCM, ccm ni chama cha kisiasa - ukawa sio chama cha kisiasa!! Kuhusu kumiliki mali, nani kasema kumiliki mali ni haramu? Ni haramu endapo mali zako ni dispensary za watanzania umeziiba na kujijengea mali, ni haramu endapo umeiba pesa za barabara na kujenga maukumbi ya hrusi dsm nzima, ni haramu endapo ueuza twiga na simba wakiwa hai ukatajirika, ni haramu endapo umeingia mikataba haramu ya migodi kwa manufaa yako na kuacha wananchi waliokuwa wamiliki halali wa ardhi wakifa kwa mercury na sumu na mabunduki wanayopigwa na wawekezaji. etc. Otherwise, uharamu huo unaousema kwamba miaka mitatu watu wanamiliki hotel ulaya [nafikiri hapa unamsema ndesamburo, hiyo hotel alikua nayo tu kabla hata ya kujiunga chadema!!!] Yaani ni sawa na Bakhresa ajiunge cafu sasa hivi na wewe uanze kuzungumzioa mali za bakhresa kwa sababu ameingi cuf. Fikiria kwanza kabla hujasema kitu.

Hakuna kitu ulichozungumza, hujahoji, hujauliza wala hujazumgumza!!!!!!! Ni kama umepiga chafya tu.
 
Ni nani anayepanga vipaumbele vya matumizi ya fedha za serikali?serikali iliyochini ya chama gani?

Basi kama kweli mna uchungu na maisha waambie wabunge wenu wasichukue posho iwe mfano bora wa kupinga matumizi makubwa ya serikali.
 
Unaongea kitu gani aise?? hujui wala huoni tofauti ya Ukawa na CCM, ccm ni chama cha kisiasa - ukawa sio chama cha kisiasa!! Kuhusu kumiliki mali, nani kasema kumiliki mali ni haramu? Ni haramu endapo mali zako ni dispensary za watanzania umeziiba na kujijengea mali, ni haramu endapo umeiba pesa za barabara na kujenga maukumbi ya hrusi dsm nzima, ni haramu endapo ueuza twiga na simba wakiwa hai ukatajirika, ni haramu endapo umeingia mikataba haramu ya migodi kwa manufaa yako na kuacha wananchi waliokuwa wamiliki halali wa ardhi wakifa kwa mercury na sumu na mabunduki wanayopigwa na wawekezaji. etc. Otherwise, uharamu huo unaousema kwamba miaka mitatu watu wanamiliki hotel ulaya [nafikiri hapa unamsema ndesamburo, hiyo hotel alikua nayo tu kabla hata ya kujiunga chadema!!!] Yaani ni sawa na Bakhresa ajiunge cafu sasa hivi na wewe uanze kuzungumzioa mali za bakhresa kwa sababu ameingi cuf. Fikiria kwanza kabla hujasema kitu.

Hakuna kitu ulichozungumza, hujahoji, hujauliza wala hujazumgumza!!!!!!! Ni kama umepiga chafya tu.

Kwanini unatoa mfano wa Bakhresa kujiunga na CUF na sio CHADEMA!
 
Basi kama kweli mna uchungu na maisha waambie wabunge wenu wasichukue posho iwe mfano bora wa kupinga matumizi makubwa ya serikali.

Ni bora wazichukue hizo posho maana hata zikiachwa INTARAHAMWE watazi misuse tuu.Mkuu badilika fikiria maisha ya watanzania walio wengi huko vijijini.Tafakari Ukiritimba uliopo ktk taasisi za umma bila sababu yoyote
 
Back
Top Bottom