Bora miaka 50 ya CCM kuliko miaka 5 ya UKAWA

Bora miaka 50 ya CCM kuliko miaka 5 ya UKAWA

Kiukweli wa Tz tusaidiwe kuamka na kutoka utumwani.

Kuna usemi usemao aisifuye mvua imemnyea endeleenoi kuishukuru serikali ya kindugu

Wewe unayesema umetendewa mazuri mengi na hao Jamaa una interest zako humo. Nasema hivi nina evidence ya mmoja wa watu wangu wa karibu aamua kuwa kada kwa sababu analipwa kwa hilo.

Mi naona bora kinuke tu kusikalike tukose wote haiwezekan watu wakeshe kusoma wakose kazi Halafu wengine wanashinda Club hawaujui hata umande wa Asubuh wakaongoze nchi. Nandio maana kila siku tuna mipango mkakati isiyotekelezeka kwa sababu wanaotuongoza mungu anajua.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Pumbaafu! amani na utulivu tulivileta wewe na mimi na sio CCM. What is CCM? Ni chama cha matajiri, ni chama cha kurithishana madaraka, ni chama kinachowasurubu wanyonge na kuwakweza wenye sauti na mali, ndicho chama kilichosheheni mafisadi walarushwa na wenye uchu wa madaraka, tena ni chama kilicholeta vita kati ya vijana na ajira, ni chama kilicholeta vita kati ya wasomi na viongozi, ni chama kilicholeta gepu kubwa kati ya walionacho na wasionacho, pia ni chama kilichosahau kilikotoka, kilichogomea maoni ya wanainchi wote na kuwapuuza, ndicho kilichoibadili siasa bora kuwa mambo ya uongo, kimejaa ahadi za uongo, ni chama ufupi naifahamu CCM kuliko unavyodhani. NAOMBA WATANZANIA WASIDANGANYIKE TENA!


Mnavyotutukana ndio mnazidi kutuongezea mapenzi kwa CCM.

Kwasababu watu wanatarajia mtawaambia namna mtakavyoweza kuidumisha amani utulivu na mshikano badala yake mnamwagika mipovu.
Ndio mana hata babu na dj hawaendagi msibani kwasababu ya roho ngumu kama mawe.
 
Kiukweli wa Tz tusaidiwe kuamka na kutoka utumwani.

Kuna usemi usemao aisifuye mvua imemnyea endeleenoi kuishukuru serikali ya kindugu

Wewe unayesema umetendewa mazuri mengi na hao Jamaa una interest zako humo. Nasema hivi nina evidence ya mmoja wa watu wangu wa karibu aamua kuwa kada kwa sababu analipwa kwa hilo.

Mi naona bora kinuke tu kusikalike tukose wote haiwezekan watu wakeshe kusoma wakose kazi Halafu wengine wanashinda Club hawaujui hata umande wa Asubuh wakaongoze nchi. Nandio maana kila siku tuna mipango mkakati isiyotekelezeka kwa sababu wanaotuongoza mungu anajua.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums


ikiwa mtu kama wewe ambae unavifaa vya kuingia kwenye mijadala kwenye majamvi ya siasa kama haya bado unashindwa kuona amani na utulivu na mshikamano uliopo sasa sijui huko kwabibiako kijijini kukoje.
 
ila utaisha kwa kuendelea kuongozwa na magamba ambao wao ndo chanzo cha hali hiyo kwa miaka hamsini!
heri malaya kuliko mnafiki tena wa kiume!


Bora MAGAMBA kuliko KOBE mwenyewe.
Hali ngumu anza kumlaumu babaako ndio uje ccm.
Kama umeona heri malaya mimi sikatai kwasababu chama kizima ukiondoa yule MCHUNGAJI waliobakia wote ni malaya.
 
Salaam wana jf,

Amma baada ya salam naomba kuwasilisha maoni ya waliowengi kama ifuatavyo.

CCM imefanikiwa kutuongoza kuanzia Chama na serekali mpaka vyama vingi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 sasa tulio wengi tume enjoy amani,utulivu na mshikamano.

Tumepita kwenye changamoto mbalimbali na nyingi tulizishinda mpaka sasa nchi yetu imekuwa mfano wa kuigwa dunia nzima, usiposhuru dogo hata kubwa huwezi kushukuru.

Lakini sio wananchi pekeyake hadi wanyama tunaowafuga na kwenye hifadhi zetu wote wame enjoy hali tulivu kiasi cha marais wa marekani kufikia hatua na kusema amma hakika NGORONGORO ni pepo ya wanyama.

Lakini waswahili wanasema 'SHUBIRI HUONJWA' kuna kundi la wanasiasa linajiita UKAWA nasema wanajiita kwasababu hakuna katiba ya UKAWA wala USAJILI wala OFISI isipokuwa tunajua kwamba wanatoka kwenye vyama vikuu vya upinzani.

Lakini ikiwa kushika nafasi yapili kwenye uchaguzi mkuu tayari watu wengine wanamili nyumba3,kasri dubai,bilions uswizi,wengine wameitwa wasaliti na wengi kupigwa matofali.

Stupid thread never seen before!
 
Bora MAGAMBA kuliko KOBE mwenyewe.
Hali ngumu anza kumlaumu babaako ndio uje ccm.
Kama umeona heri malaya mimi sikatai kwasababu chama kizima ukiondoa yule MCHUNGAJI waliobakia wote ni malaya.
Baba yangu ni Punda na wewe ndio mama yangu!
 
Salaam wana jf,

Amma baada ya salam naomba kuwasilisha maoni ya waliowengi kama ifuatavyo.

CCM imefanikiwa kutuongoza kuanzia Chama na serekali mpaka vyama vingi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 sasa tulio wengi tume enjoy amani,utulivu na mshikamano.

Tumepita kwenye changamoto mbalimbali na nyingi tulizishinda mpaka sasa nchi yetu imekuwa mfano wa kuigwa dunia nzima, usiposhuru dogo hata kubwa huwezi kushukuru.

Lakini sio wananchi pekeyake hadi wanyama tunaowafuga na kwenye hifadhi zetu wote wame enjoy hali tulivu kiasi cha marais wa marekani kufikia hatua na kusema amma hakika NGORONGORO ni pepo ya wanyama.

Lakini waswahili wanasema 'SHUBIRI HUONJWA' kuna kundi la wanasiasa linajiita UKAWA nasema wanajiita kwasababu hakuna katiba ya UKAWA wala USAJILI wala OFISI isipokuwa tunajua kwamba wanatoka kwenye vyama vikuu vya upinzani.

Lakini ikiwa kushika nafasi yapili kwenye uchaguzi mkuu tayari watu wengine wanamili nyumba3,kasri dubai,bilions uswizi,wengine wameitwa wasaliti na wengi kupigwa matofali.
Bora miaka 50 ya ccm kuliko 5 ya ukawa.kajipange kwanza.
 
Mleta mada ukifatilia orodha ya nchi zenye low IQ dunian Tanzania ipo top ten
na kilichochangia ni wewe kwa sababu wewe ulitumika kama sample kwenye huo uchunguzi
 
Salaam wana jf,

Amma baada ya salam naomba kuwasilisha maoni ya waliowengi kama ifuatavyo.

CCM imefanikiwa kutuongoza kuanzia Chama na serekali mpaka vyama vingi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 sasa tulio wengi tume enjoy amani,utulivu na mshikamano.

Tumepita kwenye changamoto mbalimbali na nyingi tulizishinda mpaka sasa nchi yetu imekuwa mfano wa kuigwa dunia nzima, usiposhuru dogo hata kubwa huwezi kushukuru.

Lakini sio wananchi pekeyake hadi wanyama tunaowafuga na kwenye hifadhi zetu wote wame enjoy hali tulivu kiasi cha marais wa marekani kufikia hatua na kusema amma hakika NGORONGORO ni pepo ya wanyama.

Lakini waswahili wanasema 'SHUBIRI HUONJWA' kuna kundi la wanasiasa linajiita UKAWA nasema wanajiita kwasababu hakuna katiba ya UKAWA wala USAJILI wala OFISI isipokuwa tunajua kwamba wanatoka kwenye vyama vikuu vya upinzani.

Lakini ikiwa kushika nafasi yapili kwenye uchaguzi mkuu tayari watu wengine wanamili nyumba3,kasri dubai,bilions uswizi,wengine wameitwa wasaliti na wengi kupigwa matofali.

Umeandika nini sasa??
 
Ustaarabu ni upi? kupika majungu na kudanganya umma kwa hoja dhaifu, za kufikirika na ujinga? unaona mleta hoja

kafanya uungwana kwenye bandiko la kupotosha umma? Kupotosha na kudanya sio zaidi ya matusi???
Kama mnaona mleta mada kaupotosha umma kwa hoja dhaifu na za uongo basi jibu kwa hoja zilizo nzito na za kweli au matusi kwenu nyie ni hoja...
 
ikiwa mtu kama wewe ambae unavifaa vya kuingia kwenye mijadala kwenye majamvi ya siasa kama haya bado unashindwa kuona amani na utulivu na mshikamano uliopo sasa sijui huko kwabibiako kijijini kukoje.

kufika kwenye mtandao ndio amani unataka kusema Iraq hawatumii Internet or hawana hizo Smart phones mbona unazungumza utumbo wewe unajua nyinyi mliolelewa na mababu mkaolewa mpaka wake mnashida sana hamjui haswa ni nini kinachompata mtanzania asiye na Hatia hapa chini sio kosa lako nenda kachukue hela ya pop corn ukacheck movie kwa kuwa hakuna la msingi zaidi ya hayo
 
Hapo sawaaaaaaa! CCM DAIMA!

Ila sasa nashangaa kwa baadhi ya wilaya unakuta chama kinasimamisha mbunge mgonjwa, goigoi na mzee! Mfano Jimbo la Ngara lilimkataa Kijana mchapa kazi Bw. Muheranyi inashangaza kweli

Ok! kipindi hiki mimi ni miungoni mwa wananchi tunaomkaribisha Bw. Muheranyi Syprian
 
Salaam wana jf,

Amma baada ya salam naomba kuwasilisha maoni ya waliowengi kama ifuatavyo.

CCM imefanikiwa kutuongoza kuanzia Chama na serekali mpaka vyama vingi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 sasa tulio wengi tume enjoy amani,utulivu na mshikamano.

Tumepita kwenye changamoto mbalimbali na nyingi tulizishinda mpaka sasa nchi yetu imekuwa mfano wa kuigwa dunia nzima, usiposhuru dogo hata kubwa huwezi kushukuru.

Lakini sio wananchi pekeyake hadi wanyama tunaowafuga na kwenye hifadhi zetu wote wame enjoy hali tulivu kiasi cha marais wa marekani kufikia hatua na kusema amma hakika NGORONGORO ni pepo ya wanyama.

Lakini waswahili wanasema 'SHUBIRI HUONJWA' kuna kundi la wanasiasa linajiita UKAWA nasema wanajiita kwasababu hakuna katiba ya UKAWA wala USAJILI wala OFISI isipokuwa tunajua kwamba wanatoka kwenye vyama vikuu vya upinzani.

Lakini ikiwa kushika nafasi yapili kwenye uchaguzi mkuu tayari watu wengine wanamili nyumba3,kasri dubai,bilions uswizi,wengine wameitwa wasaliti na wengi kupigwa matofali.

Moja ya matatizo makubwa yaliyopo kwenye akili za aina yako ni kushindwa hata kujielewa. Unaweza kuniambia ulikusudia kuandika nini ili tuweze kuchangia mada hii? pamoja na kwamba hueleweki kwa ufasaha, lakini naweza kukusaidia mambo machache kwa faida yako na wengine unaofanana nao katika kufikiri. Kuhusu UKAWA hakuna mwenye akili timamu asieweza kuelewa kwamba ushirikiano ulioundwa kwa lengo la kutetea maslahi ya wananchi katika mchakato wa undikwaji wa Katiba mpya. Utakuwa mwendawazimu ukitaka watu hawa wawe na ofisi au katiba yao ndipo uone mantiki yao. Kundi linaitwa Tanzania Kwanza ambalo linaungwa mkono na CCM mbona hujalizungumzia. Tofauti ya Tanzania kwanza na UKAWA ni nguvu ya HOJA zao. Wakati UKAWA hoja zao zina nguvu na uungwaji mkono mkubwa kutoka kwa wadau mbalimbali, hoja za Tanzania Kwanza zinaonekana kupwaya hali iliyopelekea hata Tanzania kwanza nao Automatically kupotelea kusikojulikana. Kuhusu watu kumiliki nyumba 3, Kasri Dubai na Bilions Uswizi, je waweza kutuambia kuna husiana vipi na kushika nafasi ya pili kwenye uchaguzi? Hizo kasri zilijengwa baada ya matokeo ya Uchaguzi? Suala la Amani si la CCM, Nchi hii ina idadi ya watu wasiopungua milioni 45, kati ya hao wanachama wa CCM ambao nina amini ni pamoja na wanachama hewa hawazidi milioni 6,ukitafakari sana utaelewa kwamba hata wasio wanachama wa CCM wameshiriki kujenga amani na mshikamano katika Nchi hii hata pale CCM walipokuwa wakifanya matendo ya kuvunja amani ambayo kama kweli wewe ni Mtanzania halisi utakuwa unayafahamu. Kama Nchi yetu ni mfano wa kuigwa duniani, tuambie ni Nchi gani iliyotuiga nini? Sifa tunazopewa hasa na wakubwa ni aina fulani ya kutupumbaza ili tuibiwe kirahisi. Unaweza kutuambia ni wapi duniani unaweza kwenda na kuuziwa sehemu ya ardhi ambayo ni mbuga na hifadhi ya wanyama asili wa Nchi hiyo?
 
kibogo
unanieleza kitugani mimi naongelea amani utulivu na mshikamano na kama utashindwa kuona umuhimu wake ni bora uwaulize wananchi wa LIBYA au S.SUDAN kati ya amani na utajiri wa umwagaji damu kipi ni bora?

Hoja yanju imesimamia hapo, kama kuna utulivu na amani kama unavyojitanabaisha hayo matukio niliyoyaorodhesha yangetokea? na je serikali ya CCM imechukua hatua gani juu ya hayo matukio ili kuyazuia yasiweze kutokea tena?
 
vicdala55

kwasababu umekuja kama mtu mwenyeakili timamu naomba nikujibu point zako sita kama ifuatavyo.
1.kusudio la kuandika ni kuonyesha wasiwasi wangu juu ya hiki kikundi cha ukawa kama kweli ni watu watakaoweza kumeintain amani utulivu na mshikamano.
2.UKAWA kirefu chake ni umoja wa katiba ya wananchi sasa kwani umeambiwa ccm wanaunda katiba ya nani?
3.point ya usajili au katiba mimi hio point niliiweka ili kuondoa maswali ya kwamba wanajiita.
Mimi nawaona ni wahuni fulani kwasababu issue ilikuwa ni katiba sasa wamewaweka nyuma yao makundi au taasisi zingine na kutengeneza maslahi ya kisiasa kwa kumuanda mgombea mmoja.
Sasa je yale makundi mengine yatafaidikaje wakati kile kilichowapeleka kwenye bunge maalum kimegeuzwa.
4.nyumba3 kasri dubai bilioni uswiz ni hoja ambazo hazijibiki.
5.suala la amani ni la CCM peke yake kwasbb kama amani isingekuwepo bado tungewalaumu CCM kwavile ndie aliepewa dhamana ya kuziongozo ROHO na VIWILIWILI Milioni 45 vya binaadam.
6. Last,kuhusu kuigwa nenda Angola,Congo,Namibia,msumbii
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom