Frank Kubwera
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 244
- 112
Hii thread haina tofauti na hekaya ya mfalme Juha.
ndio nyinyi hao hao wakati nyerere alipopigania uhuru mlisema aheri ya mkoloni, hakika kama mkoloni angekuwa katika kizazi hiki uhuru usingepatikanaPointless
Salaam wana jf,
Amma baada ya salam naomba kuwasilisha maoni ya waliowengi kama ifuatavyo.
CCM imefanikiwa kutuongoza kuanzia Chama na serekali mpaka vyama vingi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 sasa tulio wengi tume enjoy amani,utulivu na mshikamano.
Tumepita kwenye changamoto mbalimbali na nyingi tulizishinda mpaka sasa nchi yetu imekuwa mfano wa kuigwa dunia nzima, usiposhuru dogo hata kubwa huwezi kushukuru.
Lakini sio wananchi pekeyake hadi wanyama tunaowafuga na kwenye hifadhi zetu wote wame enjoy hali tulivu kiasi cha marais wa marekani kufikia hatua na kusema amma hakika NGORONGORO ni pepo ya wanyama.
Lakini waswahili wanasema 'SHUBIRI HUONJWA' kuna kundi la wanasiasa linajiita UKAWA nasema wanajiita kwasababu hakuna katiba ya UKAWA wala USAJILI wala OFISI isipokuwa tunajua kwamba wanatoka kwenye vyama vikuu vya upinzani.
Lakini ikiwa kushika nafasi yapili kwenye uchaguzi mkuu tayari watu wengine wanamili nyumba3,kasri dubai,bilions uswizi,wengine wameitwa wasaliti na wengi kupigwa matofali.
Kumbe................Tanzania ni nchi ya kuigwa? walahi sikujua! kumbe upuuzi wetu, umaskini, ujinga, utumwa wa akili ni mifano ya kuigwa, na inaigwa na nchi gani?
ndio nyinyi hao hao wakati nyerere alipopigania uhuru mlisema aheri ya mkoloni, hakika kama mkoloni angekuwa katika kizazi hiki uhuru usingepatikanaPointless
Ustaarabu ni upi? kupika majungu na kudanganya umma kwa hoja dhaifu, za kufikirika na ujinga? unaona mleta hoja
kafanya uungwana kwenye bandiko la kupotosha umma? Kupotosha na kudanya sio zaidi ya matusi???
Ustaarabu ni upi? kupika majungu na kudanganya umma kwa hoja dhaifu, za kufikirika na ujinga? unaona mleta hoja
kafanya uungwana kwenye bandiko la kupotosha umma? Kupotosha na kudanya sio zaidi ya matusi???
Ushapewa pesa saa unatoa hoja ambazo hazina msingi taifa gani la amani wakati hapana elimu,umasikini,maandamano kila kukicha.
maramia tushabikie ubovu wa ccm kuliko upuuzi wa wapinzani haswa Cdm kiukweli kila mtu anapenda wapinzani washike nnchi lkn c hawa wabaguzi wanafiki magaidi na kutokukubali challenge wanao taka fikra za mwenyekiti kudumu...... wapuuzi wapizani hata mie nakusapoti japo si ccm
Hata mie najiuliza sipati jibu. Mfano wa kufikirika; slaa rais alafu baraza lake unawakuta watu kama akina mbowe,sugu,lema,msigwa,bepari ndesa na wachaga kwa kwenye taasisi za kiusalama na kifedha ndani ya miaka 5 nchi itafananaje?
Ni matarajio yangu nchi kutangazwa imefilisika.
maramia tushabikie ubovu wa ccm kuliko upuuzi wa wapinzani haswa Cdm kiukweli kila mtu anapenda wapinzani washike nnchi lkn c hawa wabaguzi wanafiki magaidi na kutokukubali challenge wanao taka fikra za mwenyekiti kudumu...... wapuuzi wapizani hata mie nakusapoti japo si ccm