Bora kuwa single!

Bora kuwa single!

Goku 255

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
432
Reaction score
838
Mimi nlipo nna miaka 46 sina mtoto wala mke, hakuna anayenipa stress nipo zangu naenjoy life.
Nnacho mshukuru Mungu mm sio mlevi wala mwanakamaria, kiuwezo nipo vizuri. Ila mahusiano no sitaki kuwaza. Na mwanamke hana faida yeyot, kama nikupika napika ten msosi mtamu, hata kama ni watoto siwataki maan hawana msaada wowote kwangu, kataa ndoa\mahusiano okoa kibunda.
 
Mimi nlipo nna miaka 46 sina mtoto wala mke,hakuna anaye npa stress npo zangu naenjoy life. Nnacho mshukuru mungu mm sio mlevi wala mwanakamaria,kiuwezo np vzr.Ila mahusiano no sitaki kuwazwaz Na mwanamke hana faida yeyot,kama nikupika napika ten msosi mtamu,hata n kama n watoto siwatak maan hawana msaad wowote kwang,kataa ndoa\mahusiano okoa kibunda
Hili ni tatizo japo inawezekana hulioni.. Lilianzia ulaya likaingia bara hindi kwa kasi sasa naona limeshawasha indicator Africa!
Imagine wazazi wetu wangekuwa na mitazamo kama hii!
 
20260315_072704.jpg
 
Mimi nlipo nna miaka 46 sina mtoto wala mke,hakuna anaye npa stress npo zangu naenjoy life. Nnacho mshukuru mungu mm sio mlevi wala mwanakamaria,kiuwezo np vzr.Ila mahusiano no sitaki kuwazwaz Na mwanamke hana faida yeyot,kama nikupika napika ten msosi mtamu,hata n kama n watoto siwatak maan hawana msaad wowote kwang,kataa ndoa\mahusiano okoa kibunda
Una nguvu za kiume?.

Uliwah kuoa alaf ukaona hauna uwezo wa kumpa mtu Mimba ukaachika?.

Una mpenzi?.

Kwa miaka yote hiyo ushawah kukaa na mwanamke ndani?.
Sogea tukae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom