Bora kufa kimwili kuliko kufa kiroho

Bora kufa kimwili kuliko kufa kiroho

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,636
Reaction score
58,318
Kufa unatembea ni kubaya Sana Bora kufa na kuzikwa

Watawala wa sasa wanatembea wakati wamekufa kiroho

CCM inatwala wakati imekufa kiroho

Serikali ya awamu ya 6 imekufa kiroho Ila kimwili inatawala!..

Ndio maana ni ngumu Sana Sana kufanikiwa kwa sasa!!
 
Back
Top Bottom