MTUNZA AMANI
Senior Member
- Jun 2, 2012
- 187
- 21
Wanabodi mwenye taarifa kamili kuhusu boom udsm,maana chuo kimefungua lakini account hazijacheu,je tatizo ni nini? Maana hamna taarifa yoyote,je tutaishije maana hizo ndo pesa za kula. Naombeni mwenye taarifa atujuze au DARUSO najua huwa mnapita humu jamvin tujuzeni basi.