Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Tutajisalimisha kwa akina mama niwekee.Seriously, bei za misosi cafe zimepanda maradufu! RB=800,etc...
Tutajisalimisha kwa akina mama niwekee.Seriously, bei za misosi cafe zimepanda maradufu! RB=800,etc...
Hakuna bum. Hakuna wanaharakati.2lioko mtaan 2nasubri bum 2je. Rb watashusha 2 bei. Mi nitaongoza ruti kwenda kwa mapacha wa3 cku ya j3 tar 5/3 asubui. Aafu muache uoga...................solidarity..................................................
......4rever! Wacha nikope japo nauli ya kujia huko chuon ili kuongeza nguvu revo square hiyo j3.
sa ukija na nauli 2,utakula nin mkuu?
usitake watu waanze kukunjika huku huku kitaa kijana,dar bila pesa hapakaliki eti.
Labda atakula kunji
hahahahaaa. Nauli yenyewe anakopa, sasa ya kula sijui ataipata wapi, labda wampeleke Keko akapate msosi wa bure.
embu nifafanulie kdogo kuhsu hzo code zako.
code 001-unakula usiku kwa usiku tu.
Code101-unakula asubuhi na ucku thn mchana unapga deshi.
Code111-unafanya anasa kwa kula milo mitatu kwa siku{yani asubuh,mchana na ucku}.mkuu uko udsm afu huzijui hzi codes,yaelekea we ni wa kishua eeeh?
Poleni, mnafungua chuo na Ngororo hamna!! enzi zetu hatukukubali hii, saa hizi kunji tayari zamani...
mwana hapo nimekusoma usihof, sio kila jambo liko common kwa wote mzaz hicho chuo kikubwa mzee.