Boniface Mwabukusi: Iundwe Tume huru ya kulichunguza Jeshi la Polisi

Boniface Mwabukusi: Iundwe Tume huru ya kulichunguza Jeshi la Polisi

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,144
Reaction score
56,409
Polisi makao makuu waliunda Kamati kuchunguza kutekwa kwa Mdude mpaka sasa kimyaa japo afisa wao alitajwa bayana.

Mzee Kibao uchunguzi unaendelea, Soka na wenzake Mahakama ikaamuru Polisi wa chunguze hadi leo kimyaa labda bado wanaichunguza amri ya mahakama.

Soka na wenzake uchunguzi unaendelea?! Banjo katekwa na kuuawa eneo lenye vifaa saidizi na kuzungukwa na ulinzi pale Arusha chunguzi unaendelea?!

Humphrey Polepole tunasikia baadhi ya Maafisa walirudi kuvunja gari lake na kuondoka na nyaraka... uchunguzi unaendelea.

Namna pekee na sahihi ya kupata majawabu kuhusu utendaji wa polisi na vitendo vya utekaji ni kulichunguza Jeshi la Polisi.

Uchunguzi huru, Jumuishi na wa kimataifa utategua kitendawili cha mtekaji na muwezeshaji wa utekaji.

HAKI, UKWELI NA UWAJIBIKIJA UTALIPONYA TAIFA....siyo maombi ya kidini ya kisanii wala maridhiano ya jumla jumla na ya hadaa .

Zamu hii hatutakubali tena kupelekwa machinjoni kama kondoo wa kafara.

BAK MWABUKUSI.
 
Wa kuunda hiyo tume ni nani ? Police mwenye nafasi ya Ukoplo anashindwa kusoma PGO ya kiingereza.kuna mdau alisha wahi sema uwenda Tanzania ni channel ya vichekesho uko Heaven
 
Polisi makao makuu waliunda Kamati kuchunguza kutekwa kwa Mdude mpaka sasa kimyaa japo afisa wao alitajwa bayana.

Mzee Kibao uchunguzi unaendelea, Soka na wenzake Mahakama ikaamuru Polisi wa chunguze hadi leo kimyaa labda bado wanaichunguza amri ya mahakama.

Soka na wenzake uchunguzi unaendelea?! Banjo katekwa na kuuawa eneo lenye vifaa saidizi na kuzungukwa na ulinzi pale Arusha chunguzi unaendelea?!

Humphrey Polepole tunasikia baadhi ya Maafisa walirudi kuvunja gari lake na kuondoka na nyaraka... uchunguzi unaendelea.

Namna pekee na sahihi ya kupata majawabu kuhusu utendaji wa polisi na vitendo vya utekaji ni kulichunguza Jeshi la Polisi.

Uchunguzi huru, Jumuishi na wa kimataifa utategua kitendawili cha mtekaji na muwezeshaji wa utekaji.

HAKI, UKWELI NA UWAJIBIKIJA UTALIPONYA TAIFA....siyo maombi ya kidini ya kisanii wala maridhiano ya jumla jumla na ya hadaa .

Zamu hii hatutakubali tena kupelekwa machinjoni kama kondoo wa kafara.

BAK MWABUKUSI.
huyo muungwana ni miongoni mwa mawakili useless mno Tanzania :1Head:
 
Polisi makao makuu waliunda Kamati kuchunguza kutekwa kwa Mdude mpaka sasa kimyaa japo afisa wao alitajwa bayana.

Mzee Kibao uchunguzi unaendelea, Soka na wenzake Mahakama ikaamuru Polisi wa chunguze hadi leo kimyaa labda bado wanaichunguza amri ya mahakama.

Soka na wenzake uchunguzi unaendelea?! Banjo katekwa na kuuawa eneo lenye vifaa saidizi na kuzungukwa na ulinzi pale Arusha chunguzi unaendelea?!

Humphrey Polepole tunasikia baadhi ya Maafisa walirudi kuvunja gari lake na kuondoka na nyaraka... uchunguzi unaendelea.

Namna pekee na sahihi ya kupata majawabu kuhusu utendaji wa polisi na vitendo vya utekaji ni kulichunguza Jeshi la Polisi.

Uchunguzi huru, Jumuishi na wa kimataifa utategua kitendawili cha mtekaji na muwezeshaji wa utekaji.

HAKI, UKWELI NA UWAJIBIKIJA UTALIPONYA TAIFA....siyo maombi ya kidini ya kisanii wala maridhiano ya jumla jumla na ya hadaa .

Zamu hii hatutakubali tena kupelekwa machinjoni kama kondoo wa kafara.

BAK MWABUKUSI.
Baada ya October 29,2025..
Itoshe kusema,wahalifu wa hii nchi ni Polisi!

Wauaji,watekaji,wafiraji...Kama kuna taasisi ya kuivunja na kuiunda upya ni hii!
 
Baada ya October 29,2025..
Itoshe kusema,wahalifu wa hii nchi ni Polisi!

Wauaji,watekaji,wafiraji...Kama kuna taasisi ya kuivunja na kuiunda upya ni hii!
Tume ya Chande waliyojiundia wenyewe ingekuja na wazo hilo angalau ingejaribu kuwagusa wahanga.
 
Back
Top Bottom