papag
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 1,137
- 1,608
Hapana kabisa kwa sababu
Aah wapi hapana KABISA umeona ni cylinder ngapi hizo? Ni 12... Wese lake si mcheza hammer inasubiriwapenda mbio hapo atabuni safari kila wiki ilimradi tu akawatoe kamasi wenzie huko road
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa na BMW sports 240 speed.. The most niliweza kwenda ni 210 tena kwa dakika zisizozidi kumi Mkata kwenda MbweweMimi hapo gia ningeishia 4 nikijitahidi 5..
Speed mwisho ni 90..
Hio gali hainifai maana ina mambo mengi nisiyoyatumia kabisa.. speed ya 400 wakati hata robo yake sijawahi kufika.
210 kwa barabara hizi si kutafuta kifo aiseeh.Nilikuwa na BMW sports 240 speed.. The most niliweza kwenda ni 210 tena kwa dakika zisizozidi kumi Mkata kwenda Mbwewe
Jr
210 - Hapo ulipambana!Nilikuwa na BMW sports 240 speed.. The most niliweza kwenda ni 210 tena kwa dakika zisizozidi kumi Mkata kwenda Mbwewe
Jr
Nilikuwa na BMW sports 240 speed.. The most niliweza kwenda ni 210 tena kwa dakika zisizozidi kumi Mkata kwenda Mbwewe
Jr
Haiwezekan, gia tano ndo mwisho wa njia ya gia amna njia ya kutoka tano mpaka riverse labda urudi mpaka moja ndo utaipata njia ya reverse. Ingekuwepo ivo tungekufa wengi sana nahis utapaa kbsa na kufia anganiNaona gia ya Reverse imekaa kihasara. Fikiria ukikosea toka namba 7 hadi reverse!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo gia ya reverse haingiiNaona gia ya Reverse imekaa kihasara. Fikiria ukikosea toka namba 7 hadi reverse!
Sent using Jamii Forums mobile app