Bongo star search 2015

Mmh kazi ipo kwa Kayumba, Fenabo na Fridah
 
Kelvin nimependa style yake tu umewakilisha maadhi yetu ya asili
 
 
Kuna makosa wanayafanya mwishoni itakuja itakuja kuonekana kama wamekuja na majina mfukoni.

1. Fela hakutakiwa kwenda kumtunza dogo. Alitakiwa awe neutral
2. MC hakutakiwa kumwambia arudie kipart. Anatakiwa awe neutral
Especially kwa MC ile ilikuwa ni kama promo eti
 
Kuna makosa wanayafanya mwishoni itakuja itakuja kuonekana kama wamekuja na majina mfukoni.

1. Fela hakutakiwa kwenda kumtunza dogo. Alitakiwa awe neutral
2. MC hakutakiwa kumwambia arudie kipart. Anatakiwa awe neutral

hilo ndugu mbona tunalijua muda mrefu kayumba yuko katika management ya mkubwa na wanawe tunaoishi Temeke mikoroshini tunalijua swala hilo acha tujivunie
 
Last edited by a moderator:
Ahsante kwa kushiriki Kelvin
 
Frida aliingia kwa bahati..Walitaka kumtoa..Ameamua awaonyeshe uwezo sasa..Yani kama ndo walimtia ndimu

Sure.Nlisikitika walivomkalisha kiti kimoja na marry wakashindwa kumtoa jack.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…