Hapo hata helmet haina maanaBoda boda wameifanya kama Noah kwa hiyo idadi ya watu af hamna hata mtu alyevaa helmet, too risk..
Hupo??kweli nimeamini nayoyaona JF huwa na mtaani yanatokea nakusalimia mimi sijambo!!Tupo na maisha kiJF zaidi hata mtaani ni maisha hayohayo usanii mwiiingiiii!!:cheer2:
"thought takes man out of servitude into freedom"kwani wewe ulifikiri kwamba jf ni maisha mengine na wanaish ulimwengu mwingine?? sote tuanish duniani tena mule alimotupwa shetani aliyekuwa malaika wa sifa mbinguni.
sasa usione tunaonana kweye keybodi ukadhan kwamba haya ni maneno tu, hapana maisha yetu ni yaleyale na yako vile vile.
ukiusemea usanii utaulizwa na wasanii wewe uliigiza part gani?? ilikua nzuri ama mbaya?? ulifikisha ujumbe wka hadhira ipasavyo ama hukufikisha and so forth
tumepotezana sister...yaani mpaka nimewekwa Jamii Photo na MziziMkavu ndio tumeonana
najua kwamba wajua naipenda hii picha
hahaha...nafahamu na leo umeiona kwa namna tofauti tofauti!!
ila mdogo wangu umenipotezea uspime aisee!
Mkoloni huyu dada yangu...nyumbani imekuwa sehemu ya kulala tu