Bongo po jaman upandaj kama huu?

Bongo po jaman upandaj kama huu?

kiongozi una wahesabu vipi hapo mi naona wako zaidi!!maana kuna watoto wawili,kwenye ndoo na mgongoni!!kule mbele wako watatu na hao wakubwa watatu,na huyo aliyebeba mtoto naona kama wako tisa!
Nadhani yeye anaongelea picha ilitumwa na MziziMkavu na wewe unaongelea picha iliyotumwa na Dotworld.Actually they do differ to each other!
 
Last edited by a moderator:
404856_217885255016313_428492940_n.jpg


BONGO IPO UPANDAJI KAMA HUU JAMANI?
MziziMkavu huyo dogo aliyevaa kanyea humohumo (kanyela mumo) amekuona unawafotoa na alijua utakuja warusha kwenye mtandao hapo anakunyooshea kidole kukuambia weewee na huku akijaribu kumtaarifu mkubwa wake tunafotolewa bila ridhaa.

Upande mwingine huyu baba hana uzazi wa majira wala wa mpango yaani watoto wote hao anatotoa tuu na hao wanaonekana mama yao ni mmoja pata picha huyu mama yao atakuwa amechokaje kwa kuzaa na hapo hayupo kwenye pikipiki nahisi atakuwa mjamzito tena looh ukiolewa na mume kama huyu unafunga kizazi tuu khaaa cha kufia leba na kichn party ataenda nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom