Katika movies nyingi za kinigeria, utakuta nyimbo zimetungwa kutokana na theme yenyewe ya movie..kama ni binti masikini anayeteswa utakuta wimbo unamuongelea yy, kama ni wanafunzi wako vyuoni hawasomi kazi yao ni kudanga tu kutakua na wimbo unaowaongelea..etc..we should apply this more katika movies zetu pia, itapendeza zaidi.