Licha ya tasnia ya bongo movie kukubwa na changamoto nyingi kama ukosefu wa soko, badget ndogo ya kutengenezea film, Ukosefu wa watu wapambanaji na wabunifu katika Tasnia.
lakini haifanyi kufcha au tushindwe kutaja na kusifia kazi bora ambazo ziliwahi kufanywa na zinaendelea kufanyika.
Hizi ni miongoni wa tamthilia kumi bora za kitanzania ambazo Ziliwahi kuoneshwa & zinaoneshwa kwenye vituo vya television hapa nchini.