Bongo Movie 2018

Bongo Movie 2018

Bongostar flix

Senior Member
Joined
Feb 27, 2018
Posts
121
Reaction score
9
Ni filamu inayohusu fimbo ya urithi aliyokabidhiwa kijana Kanani na marehemu babu yake lakini anatokea mjomba wake mmoja mwenye tama ya pesa na kumshawishi waiuze kwa matajiri bila kujua nini kitawatokea baada ya kuiuza, fatilia kwa kina kujua nini kiliwatokea baada ya kuuza fimbo hiyo. A 2018 Tanzania Movies Latest African Bongo movies Full Swahili Movies.

MOVIE MPYA KATIKA UBORA WA HD,PAKUA MZIGO MPYA BONGO MOVIE.
#BONGOSTARFLIX#TRENDING MOVIE & ENTERTAINING CHANNEL.BONYEZA LINK YETU

Nachoomba kwako ni kuingia na ku-subcribe tu,movie zetu kazi zetu,vipaji vyetu,wote tu support na kukuza soko letu.

1. Bofya link hii hapa

Bongostar Flix

2. Nenda kwenye neno SUBSCRIBER bofya hili neno.

3. Baada ya kubofya litabadilika na kusomeka SUBSCRIBED ikimaanisha tayari umefanikiwa KU-SUBCRIBE kwenye channel BONGOSTAR FLIX.

4. Unaweza kuondoka YOUTUBE na kuendelea na kazi zako.

 
PART 1-Bwana Fungafunga na Likopatile ni watu wanaoishi katika kijiji kimoja lakni wanatokea kuchukiana juu ya ugomvi wa ardhi lakini chuki inazidi pale mtoto wa mzee Likopatile anapompatia ujauzito mtoto wa fungafunga ndipo mzee huyo fungafunga anapoamua kwenda kuongea na mizimu ili aweze kufanya kisasi kwa ndolo anapatiwa mtego na mwisho wa siku unaangamiza kijiji kizima , Ni mtego hupi fatilia kwa undani zaidi kwenye movie.

TEGO LA KIJIJI OUT NOW ON OUR HD CHANNEL BONGOSTAR Bongostar Flix..NI MOVIE BAADA YA MOVIE..KARIBUNI WOTE AND ENOY.BONYEZ LINK YETU..

Nachoomba kwako ni kuingia na ku-subcribe tu,movie zetu kazi zetu,vipaji vyetu,wote tu support na kukuza soko letu.

1. Bofya link hii hapa

Bongostar Flix

2. Nenda kwenye neno SUBSCRIBER bofya hili neno.

3. Baada ya kubofya litabadilika na kusomeka SUBSCRIBED ikimaanisha tayari umefanikiwa KU-SUBCRIBE kwenye channel BONGOSTAR FLIX.

4. Unaweza kuondoka YOUTUBE na kuendelea na kazi zako.

 

Attachments

  • KIJIJINI.jpg
    KIJIJINI.jpg
    74.6 KB · Views: 184
MIKONO MITUPU-Ni filamu iliyojaa huzuni pale Mkaidi kaka mwenye familia ya mke na mtoto mmoja wanapopitia kipindi kigumu mno katika maisha yao ambapo yanamlazimu kuamua kwenda mjini kutafuta lakini anafika mjini na kukumbana na maisha yanayomfanya mpaka asahau familia huku wakiwa wanataabika, Fatilia zaidi hatima ya Mkaidi na Familia yake.
ACTORS/CAST:MATHER ISSAYA, RAMADHAN MKAIDI, GEORGE NAFTARY, MAUWA MFAUME.

PRODUCER:MIKONO MITUPU MASHUJAA ARTS GROUP.

SUBSCRIBE AND WATCH <MIKONO MITUPU PART 1 & 2 iko mtandaoni youtube katika ubora wa HD,ANGALIA KATIKA bio yetu link hii hapa ahsante Bongostarflix kwa movie za ubora tanzania.

Nachoomba kwako ni kuingia na ku-subcribe tu,movie zetu kazi zetu,vipaji vyetu,wote tu support na kukuza soko letu.

1. Bofya link hii hapa:

Bongostar Flix

2. Nenda kwenye neno SUBSCRIBER bofya hili neno.

3. Baada ya kubofya litabadilika na kusomeka SUBSCRIBED ikimaanisha tayari umefanikiwa KU-SUBCRIBE kwenye channel BONGOSTAR FLIX.

4. Unaweza kuondoka YOUTUBE na kuendelea na kazi zako.

 
Hii ni movie ya kiswahili inayoelezea maisha ya kijiji kimoja kilichotawaliwa na imani za kishirikina yanayopelekea kuharibu mfumo wa maisha ya kijana Makenzi na dada yake Janeth baada ya bibi yao kuuwawa kwa tuhuma za uchawi Makenzi na dada yake wanakimbilia mjini na baadae wanapoteana, Nini kitatokea baada ya vijana hao kupoteana fatilia ndani ya movie hii.

Nachoomba kwako ni kuingia na ku-subcribe tu,movie zetu kazi zetu,vipaji vyetu,wote tu support na kukuza soko letu.

1. Bofya link hii hapa

Bongostar Flix

2. Nenda kwenye neno SUBSCRIBER bofya hili neno.

3. Baada ya kubofya litabadilika na kusomeka SUBSCRIBED ikimaanisha tayari umefanikiwa KU-SUBCRIBE kwenye channel BONGOSTAR FLIX.

4. Unaweza kuondoka YOUTUBE na kuendelea na kazi zako.

Movie[/MEDIA] SUBSCRIBE AND WATCH ya <MACHO MEKUNDU PART 1 AND 2> iko mtandaoni youtube katika ubora wa HD,ANGALIA KATIKA bio yetu link hii hapa ahsante Bongostarflix kwa movie za ubora tanzania.

View attachment 703202
 
Ndani ya movie hii mpya yenye vituko ndani yake kutoka kwa wasanii mashughuli kama muhogo mchungu na wengineo inaelezea ni jinsi gani bi nyakumba aliamua kumuweka mwanae sikujus ndani kwa kuwa aliamini kuwa tayari amekua kiumri hivyo basi akaona ni bora amuandae juu ya hilo, Je hazima yake itafanikiwa juu ya hilo fatilia kwa umakini.

ACTORS:MADEBE LIDAI, JUMA FIMBO, MUHOGO MCHUNGU, SABRINA MARIJANI.

PRODUCER:JUMA .S. FIMBO

SUBSCRIBE NA FOLLOW YOU TUBE CHANNEL..BONGO STAR FLIX.MOVIE ZENYE UBORA WA HD(HIGH QUALITY)AHSANTE AND THANK YOU

Nachoomba kwako ni kuingia na ku-subcribe tu,movie zetu kazi zetu,vipaji vyetu,wote tu support na kukuza soko letu.

1. Bofya link hii hapa

Bongostar Flix

2. Nenda kwenye neno SUBSCRIBER bofya hili neno.

3. Baada ya kubofya litabadilika na kusomeka SUBSCRIBED ikimaanisha tayari umefanikiwa KU-SUBCRIBE kwenye channel BONGOSTAR FLIX.

4. Unaweza kuondoka YOUTUBE na kuendelea na kazi zako.

 
Mwanadada Yusra ni msichana alielelewa katika misingi ya dini na wazazi wake lakini anatokea kupendana na kijana mmoja ambae anaishi na rafiki yake, Baba Yusra anamfatilia mwanae na kumkuta akiwa ameketi na shemeji yake baba anahamua kumuozesha binti huyo kwa shemeji yake, Nini kitafata fatilia mkasa huu wenye uhondo.

ACTORS/CAST:RIYAMA ALLY, MZEE MKOKA, RASHID KABWE, BASHIR SAID.

PRODUCER:SAID TOMONDO.

MOVIE MPYA WEEKEND SIT DOWN AND ENJOY# SUBSCRIBE NA FOLLOW YOU TUBE CHANNEL..BONGO STAR FLIX.MOVIE ZENYE UBORA WA HD(HIGH QUALITY)AHSANTE AND THANK YOU.

Nachoomba kwako ni kuingia na ku-subcribe tu,movie zetu kazi zetu,vipaji vyetu,wote tu support na kukuza soko letu.

1. Bofya link hii hapa

Bongostar Flix

2. Nenda kwenye neno SUBSCRIBER bofya hili neno.

3. Baada ya kubofya litabadilika na kusomeka SUBSCRIBED ikimaanisha tayari umefanikiwa KU-SUBCRIBE kwenye channel BONGOSTAR FLIX.

4. Unaweza kuondoka YOUTUBE na kuendelea na kazi zako.

.
 
Katika movie hii ya kusisimua ambayo mwishoni itakuacha na simanzi inamuelezea Samirah na mpenzi wake Ram ambao wote wawili wanapendana sana na upendo wao unakatishwa pale kijana Thoby anapotokea kumpenda Samirah na kumtolea posa huku Samirah bila kujua kama posa haikuletwa na mpenzi wake Ram anakubali kuolewa, fatilia zaidi movie hii nzuri upate kujua hatima yake.

ACTORS/CASTS: YUSUPH FUNGA, SARI NASSORO, SLIM OMARY, FADHIL MSISILI.

PRODUCERS: SAIDY .H. ZUBER

MOVIE MPYA 2018 YENYE VISANGA VYA MAPENZI NA USALITI NIZKIWE HAI PART 1.
BONGO STAR FLIX HD CHANNEL..BONYEZA LINK AND ENJOY.

Nachoomba kwako ni kuingia na ku-subcribe tu,movie zetu kazi zetu,vipaji vyetu,wote tu support na kukuza soko letu.

1. Bofya link hii hapa

Bongostar Flix

2. Nenda kwenye neno SUBSCRIBER bofya hili neno.

3. Baada ya kubofya litabadilika na kusomeka SUBSCRIBED ikimaanisha tayari umefanikiwa KU-SUBCRIBE kwenye channel BONGOSTAR FLIX.

4. Unaweza kuondoka YOUTUBE na kuendelea na kazi zako.

.
 
Back
Top Bottom