Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,026
Nimeweka link ila sioni kama imetokea hapo kwenye post hebu angalia kama utaionaHii nyimbo naikubali sana. Unayo mkuu?
Nimeweka link ila sioni kama imetokea hapo kwenye post hebu angalia kama utaionaHii nyimbo naikubali sana. Unayo mkuu?
Hii nyimbo naikubali sana. Unayo mkuu?
Siioni aseeNimeweka link ila sioni kama imetokea hapo kwenye post hebu angalia kama utaiona
Asante sana, now nimeiona na nimeshaishusha
Poa poaAsante sana, now nimeiona na nimeshaishusha
Hii inaitwaje niitafutenina ugumu wa jiwe na upole wa mlokole
kwahio usishangae bwana asifiwe ikaambatana na dole
wakazi
Hivi Roho 7 ana nyimbo mbili tu???
Kazi kwako
Hao jamaa mi na kumbukumbu nao sana mistar yao sanaAseeh basi ni kama mimi..
Ngwea
Joh makini
Jay mo
Profess sijui shida nini nilikuwa siwezi kuwasikiliza. Sema sasa hivi sijui chochote kinachoendelea aseeh nashindwa kwenda na kasi ya kufuatilia washkaji
Wewe bhana sema me ntakuzid kesho ntaleta punch za watamadun sana na kina joo zamanYupi tena bro
Twende sawa me ndo dawa kwenye fiva/wazawa nawapaisha mpka ulaya kama viza.unga waya kwenye spika... kisha weka nyaya kwenye rifa... mtafutie malaya senorita... mguu mdogo utakupwaya kama snicker... nafuu mgogo kuliko wahaya wanavyosifika... NIKKI wa I
Hii remix au mbona ni tofauti kabisa na 13wakishajua unawajua zaidi ya wanavokuhitaji
mapenzi ya wadau wa mjini hugeuka samaki na maji
hapo inabidi kuishi ndani yake tu maana nje utavuliwa
ngosha the don