Bongo Hip-hop finest lyrics.

Nanasi Siyo tango kulila inahitaji mpango/ Na Ukiwa una mpango wa Kando haina maana mkeo hajui mambo/
Ukitaka kumkomoa Kahaba utaipasua tu condom/ Au utamchubua kimahaba ujikomoe kisa nyagi na phantom/
Na utajuta ukisha (mmmh) aaaf Kahaba anauvuta mpunga/ Wala hajali kama mpishi anayesonga ugali wa mfungwa/
 
Eyoo Chunda nipe mori bro.

Niwasoteshe kama waliyougua polio. Nikk mbishi.
 
Sifa nzuri ni nzur.
kwa mwenye sifa
Ila ukijivika ni sifuri. Nikk mbishi
 
Vidato sita nlivyoptia /
Ndivyo vinavyonisaidia /
Hata wakinibania /
Ubunifu ukizingatia /
Ni kipaji tu
Ni Mtazamo tu
Masikasirike washakaji haya mawazo tu
Solo thang moja kat ya ma- God father wa bango hip hop!
 
Zogo kivumbi
Longolongo mitungi
Nafanya mnarest in peace kama Senkondo Mvungi
Nikki mbishi
 
Naujua mziki zaidi ya ninavyojijua
Hadi nimekua hivi ujue mbishi nimeamua
Fid
 
Usicontrol fikra zenu kama television
Hip hop sio mayenu huku sera haziishi
Angalia ulichoandika kabla hujaflow
Siamini mbana pua anaweza kumshika zaidi ya hardcore
Kuna ma mc marapa na wasanii wa hip hop na kuna mahusstler ambao hawalipi kama madee wa Tip top
Fid q
 
Mae mc wanajisahau, halafu wanaleta zarau,
Usipende kuchanganya hi na zuku, uko nikujishuku,
Mara unata kule mara unatahuku,
Bata awez kuzaa na kuku, wala jero haifani na buku,
Kuna matajiri na awajapiga buku, na waliopiga buku awana ata mia luku.....!

JCB
 
Ila kipaji changu si kicheche tunacho shea, hata nkifa leo pengo langu alina spea....

R.I.P..... Mangwea..
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom