CHE Raptino
JF-Expert Member
- Mar 11, 2017
- 1,027
- 1,065
Chini dundo kama Kawa,
Voko ya kigumu,
Hizi flow haziendi sawa na miondoko ya kiduku.
Swahili - Stereo
Voko ya kigumu,
Hizi flow haziendi sawa na miondoko ya kiduku.
Swahili - Stereo
Hip Hop usikivu,Kweli mkuu ata mm stamini ckubali mistari na flow zake
Mkuu hiyo mistari ni ya wimbo uiťwao cypher/sifa, vijana walishusha punch za hatari, kaka yao fid akamalizia. "kama vip changanya tako ili mav* yasigande"Usiulize mi ni yupi mi ni nuksi zaidi ya tshaka/ nabonge la mkuki kwny chupi hii ni boksa/ maisha ni menyu na mhudumu ni muda/fasta unganisha oder zenu kisha hukumu utakuja/mi ni mbishi zaidi ya nyota uzionazo mchana wa jua kali/ siishi kwa kukopa naogopa roho itantosa ngosha
FID Q
Sawa-sawaHaha.. poa.
Hizo track zote nyingi 2013 kurudi nyuma. Siku hizi nashindwa kusikiliza preference zimebadilika.
Izzy wa wazi.. Eyez baba la baba..Eyez....?
Ngoma yake Mpya..Izzy wa wazi.. Eyez baba la baba..
Kila siku siasa Umalaya na anasa!!!Nalusha ewani bendera ya bati / imam abbas mkombozi toka mitaa ya kati..
Hawatuwezi,man of the experience IbraNgoma yake Mpya..
Niliiona FNL,
Jamaa nampa Heshima yake hasa ngoma ya "hatuwezi" siwezi ichoka .