Bongo Hip-hop finest lyrics.

Maisha sio matamu,
jimudu pasua kibubu,
nazijua kalamu,
hata kabla sijakua vidudu,
kipaji ndio ujuzi mengi,
unanifanya nisishinde bubu,
Wanga mkikesha Mungu atanlinda nisipigwe juju.

Stereo
 
Usiulize mi ni yupi mi ni nuksi zaidi ya tshaka/ nabonge la mkuki kwny chupi hii ni boksa/ maisha ni menyu na mhudumu ni muda/fasta unganisha oder zenu kisha hukumu utakuja/mi ni mbishi zaidi ya nyota uzionazo mchana wa jua kali/ siishi kwa kukopa naogopa roho itantosa ngosha

FID Q
Mkuu hiyo mistari ni ya wimbo uiťwao cypher/sifa, vijana walishusha punch za hatari, kaka yao fid akamalizia. "kama vip changanya tako ili mav* yasigande"
 
Mara nyingi mie nna bahati kama lottery.machine cio mtu wa adventure kama froto kwenye lord of the right....
Fid q.. Ngosha
 
Haha.. poa.
Hizo track zote nyingi 2013 kurudi nyuma. Siku hizi nashindwa kusikiliza preference zimebadilika.
Sawa-sawa
Mwenyewe hizi za Sasa nimekuwa mvivu wa kuzisikia sababu naona haziniingii.
 
Napendwa na wachache na chukiwa na wengi ila naheshimiwa na wote iwe unapenda au hupendi.



Mistari haikauki kama vile shahaw*/
Mistari yangu inasoko kama vile Biashara ya Madawa/


Langa!!!!!
 
Wanyonge wakichoka wanageuka waasi bila wasi-wasi.

Wanazama msituni na vita ya kudai haki.

VIONGOZI WANATUONGOZA KIHASARA-HASARA...NCHI HII HAKI HAKUNA!!

Nash Kaskazini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom