Bongo Hip-hop finest lyrics.

Bongo Hip-hop finest lyrics.

Shemu kafeel kaka kasafiri hivi naweza kukugusa hadi sehemu za siri neema wa mitego by mbishi
Hii ngoma mara ya kwanza alovyoitoa nilicheka sana hahahaha!

Wanauliza Nikki unaleta habari gani za Ajabu./

Nabaki nacheka kichwani haipatikani sababu/

Nje hijabu ndani bikini...kiunoni anaki*ani cha dhahabu/


Nikki Mbishi.
 
Ama zangu ama zao walisema bila upeo/nahofia uwezo wao na sasa ndio ama zao
Kila jambo linamsimu kuja na kuondoka/
Inamaana ukifika Juu kifuatacho kudondoka/


Ngoma yake ilipenya sana ikawa kama lugha ya mawasiliano-ukiuliza swali Njemba inakujibu pigia mstari.


Raaado!
 
Siwalipii kisasi walionifanyia mabaya/

Nitawasaidia hata kwa cash mwishoni wataona haya/


Kipindi cha nyuma 2010 Jamaa nilikuwa nampenda sana "flow" zake!!

SUMA MNAZALETI-Hisia za Mtaa.
 
Kila jambo linamsimu kuja na kuondoka/
Inamaana ukifika Juu kifuatacho kundondoka/


Ngoma yake ilipenya sana ikawa kama lugha ya mawasiliano-ukiuliza swali Jemba inakujibu pigia mstari.


Raaado!
Ha ha ha.. Kipindi ile ilikua hatari, ukipita maskani ukiuliza swali tu wana wanakujibu usiulize, wengine wanamalizia pigia mstari
 
Bado mbali hili swali..
Kwa kijana kam mmi.

Unajlinda VIP na sura nzuri zmevaa ukimwi

One
 
Mungu mmoja,sa mbona dini kibaooo,
Nauliza tuu,mi sio musa wala faraoo,
Songa.
 
Sadaka ni wito,dunia mapito,
Hata uwe na mbio vipi,huwezi kuyakimbia matatizo,
Songa
 
Kuna baba mwenye
nyumba, baba anayekutunza
wote wadogo
mkubwa baba aliyekuumba
_stamina_
[HASHTAG]#goodluckTZ[/HASHTAG]
 
Nakufunza nielewe,
Hata ufanye nn huwezi kuwa ka mimi milele,
Kumbuka,wakujitunza ni wewe,
Je umekosa vya kuuza mbaka unajiuza mwenyewe.
Songa
 
mama i made it mwanao nimefika mbali,maisha yana afadhali na nakomaa nisi fail
kiukweli mpaka mwenyewe najikubali,najenga mpaka hotel
mheshimiwa Sugu-Jongwe
 
Unabid uwe makin urudi nyuma kwanni.. Kam unajihisi ni mtumwa unahisi unatumwa nin.
By songa
 
Hip hop haihitaji wavivu wa kufikiri...

Kichwa lazima ukishughulishe na pia up ende kujifunza Mambo mbalimbali.....hakika utaipenda mno.
Najionea maajab ya hip hop kuwa ngum kulko somo la hesabu
By msodoki
 
Ha ha ha.. Kipindi ile ilikua hatari, ukipita maskani ukiuliza swali tu wana wanakujibu usiulize, wengine wanamalizia pigia mstari
Ilisambaa sana!!

Masela na wana ngoma hii ilikuwa kama kachumbari katika maongezi.

Mfano:wazeee hivi yule manzi wa mtaa wa pili anamiwaya....?

Wana wanakujibu Pigia mstari.

Hahaha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom