Nilishakuwa na rabia yule mtoto wa kiarabu akahama kwa mzee Jumbe/Haha.. sema alikuja kubadilisha career sijui maana alienda kusoma kitu kingine mzumbe.
Mzumbe alisoma hsm.. sasa sijui baadae ilikuaje maana ni siku kidogo zimepita since 2010s. Sijawahi kufuatilia mengineNilishakuwa na rabia yule mtoto wa kiarabu akahama kwa mzee Jumbe/
Nishakuwa na dorini Mtoto wa kichaga miss mzumbe//
Mkuu!!! Mimi nilijua bado yupo kwa Afya ingawa alipitia Mzumbe University..
Maisha ni karata unaweza kulamba dume/Haha
Naamka asubuhi nacheki mfukoni waya mkali/
Ooya Dark nitoe bati nikanywe chai /
RIP MABOVUU moja kati ya watu niliokuwa nawaelewa saana saana... magwea sijawahi kumwelewa sijui jwanini
Aseeh basi ni kama mimi..Maisha ni karata unaweza kulamba dume/
AU kulamba garasa..ukalamba mzungu wa nne/
R.I.P MABOVU!!!
Mimi mwenyewe ngwea sikuwa na nyimbo zake nyingi japo alikuwa vyema kama kwa jaymoe vile vile.
Nakuacha mweupe ka'mkorogo//Wanaosikia hawasikilizi /wanaosikiliza hawasikii
Hashim dogo
Hahaha!!!Hivi vitu vipo wazi kama vazi la kahaba/
Nasambaza maradhi halafu nakupa siku saba /
Dogo mwendawazimu