Bongo Hip-hop finest lyrics.

Bongo Hip-hop finest lyrics.

Kwetu nguna dagaa sio wali na kuku/
Kuna machizi hip hop na machizi viduku/

Nash Mc.
 
No sifa za uandishi wapo na fid.

Manzi wee mkali eeh upo fresh songa ndiye anaimba kiitikio.. hii ya kitambo kidogo


Sifa za uandishi hi anaanza kwa kusema
Tukii tukiii tukiacha utani
Sitokukera nadhani
No sifa za uandishi wapo na fid.

Manzi wee mkali eeh upo fresh songa ndiye anaimba kiitikio.. hii ya kitambo kidogo


Sifa za uandishi hi anaanza kwa kusema
Tukii tukiii tukiacha utani
Sitokukera nadhani
No worry mr, umenifanya ni google ndo yenyewe ipo kwenye album ya One ya Soga za MzawA
 
Najiuliiza swali kisha napata jibu/Nakubali kua maisha hayawi bila kuleta ubandidu/Palipo maslahi usisite kuamua kuharibu/ Ingali yu hai utatubu dhambi taratibu Ngosha
 
nina shaka na upinzani nadhani ndo wale wale
ni sawa na kesi ya nyani ujaji apewe ngedere


solo thang
 
wakishajua unawahitaji zaidi ya wanavokuhitaji
mapenzi ya wadau wa mjini hugeuka samaki na maji

hahah hapo inabidi kuishi ndani yake tu maana nje utavuliwa

ngosha the don
 
Maisha safari ndo kuwekeza
Mara nataka iphone mhm
Nikakanunulia apple
Kakatafuna kisha nikakatafuna
Kakataka outing
nikakatoa nje kakapiga upepo
By G Wara Wara
 
Na pesa mingi mpaka natamani jiteka
Then watu wapo King Stone ka Jamaica
Ngwair
 
MC no.one mfalme wa mitaani/
Wapnzani nawapga vchwa kama zidani..
LANGA..R.I.P
 
Tukirudi kwenye tungo nazama kwenye fasihi wengi ni batiri hapa hamusw***

Uwezo wenu unaonekana bila media mnapwaya/
Wanaosema hawanijui ni wazi wananigwaya/

Hahaha asiye husika na Hip Hop at*k*

Nash dagama-Nash Kaskazini-Nash misimamo Mikali.
 
urafiki sio kumoka tuu ni kupeana dili
namna gani nizalishe hamsini ili iwe mia mbili?

situmii mwili jazba na hasira
natumia akili ustaarabu na subira


R.I.P brother
 
Pesa haipunguz matatzo bali inaongeza/so uskarbie meza kama huchangii unachomeza....
ngwea...r.i.p
 
usidanganywe sholi utajiri haupo nyuma ya sketi

hizi ngono na starehe ukizikopi na kupesti

utakula chakula kingi na bado utaluz weight

niki wa 2
 
Sio wengine tumepinda migongongo ukadhani sisi mavibiohongo pengine ni ufupi tu milango
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom