Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,193
- Thread starter
- #101
Sijui kwanini huyu jamaa hakutoa track nyingi aseehHahaha!!!
Viazi la Kahaba-utamu wote njenje.
Ila hapo mstari wa pili...Nakupa maradhi nahisi alikuwa anelezea Ukimwi-kwasababu kipindi kile cha nyuma watu Mtaani walikuwa wanadai ukinasa tu miwaya siku Saba tu mwili unakusanua.