Bongo Hip-hop finest lyrics.

Bongo Hip-hop finest lyrics.

Hahaha!!!
Viazi la Kahaba-utamu wote njenje.

Ila hapo mstari wa pili...Nakupa maradhi nahisi alikuwa anelezea Ukimwi-kwasababu kipindi kile cha nyuma watu Mtaani walikuwa wanadai ukinasa tu miwaya siku Saba tu mwili unakusanua.
Sijui kwanini huyu jamaa hakutoa track nyingi aseeh
 
Naishi biashara
Daima siogopi hasara
Na mara mara kwa mara
Hii busara huepusha madhara

Pro jay mc.heavyweight
JOSEPH

J-Jifunze.

O-ona.

S-Sema.

E-Elimika.

P-Pitia.

H-Hamasika

Dunia inaangamizwa na wale wenye sarafu..

Mheshimiwa mbunge-Nigga J.
 
Shtuka mbongo kuwa na Ubongo wa future/
Wangapi wanatoa hongo na kwenye michongo wanashushwa?/

Songa
 
Hata viongozi wa dini
Mijini wanavinjari/
Ukiuliza kwa nini?
Wanajibu ndiyo digitali/

Baba malcom.
 
Sijui kwanini huyu jamaa hakutoa track nyingi aseeh
Huyu Jamaa angekuwa mfalme wa Hip hop Tanzania.hamna namna Mkuu



"Maisha hupangi wewe Maisha anapanga Muumba ili upewe"
 
Ogopa saana mtaa umelose fear/
Mshtakiwa huitwa mteja wakili mwanasheria/

Joh makini.
 
Wanasura za mama zao wanajiita makachaa/
Je, wangekuwa na za baba zao si ndiyo ingekuwa balaa /

Stamina.
 
Wanakuita kiwembe,
Nakupa newz me Machete
Wese la kampuni
kwa hiyo misele ya kiafisa
Kwenye pesa nipo ontime,
Kama kengele ya kanisa
By 6 O'clock
 
Nikikaza wanakaza wanajifanya mafisi nikawambia walichonambia wanakimbilia police
 
Wanakuita kiwembe,
Nakupa newz me Machete
Wese la kampuni
kwa hiyo misele ya kiafisa
Kwenye pesa nipo ontime,
Kama kengele ya kanisa
By 6 O'clock
Haha umenikumbusha Ile track yao na one na songa. (Illmatx) inaitwaje vile. !
 
Hata viongozi wa dini
Mijini wanavinjari/
Ukiuliza kwa nini?
Wanajibu ndiyo digitali/

Baba malcom.
Hahaha kwamba digital Mambo mswano!!

Usisubiri mpaka muhubiri chizi aanze kubwabwaja Lugha!!

Hii ngoma ya Zohan naikubali vibaya mno.

Usisubiri!!
 
Hahaha kwamba digital Mambo mswano!!

Usisubiri mpaka muhubiri chizi aanze kubwabwaja Lugha!!

Hii ngoma ya Zohan naikubali vibaya mno.

Usisubiri!!
Zohan ni artist ambaye ni gifted saana.

Anajua vitu anajua kucheza na maneno pia anaweza Mitindo huru ya papo kwa papo... akipata manager wa ukweli huyu jamaa atakuwa mbali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom