Endangered
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 922
- 228
Habari wadau, jpili imekwendaje?
Anyway jana jmos nilikuwa naskiza Radio One kipindi cha watoto.
Kama kawaida moderator naye ni mtoto. Ikawa kipindi cha methali, katoto kamoja kakapiga.
Methali Methali.
Wote wakamjibu, 'methaliii'.
Then akanimaliza kabisa alipouliza, 'LA KUCHUMPA?'
Na hapo wote wakamjibu bila hata kunyoosha mikono.
Moderator pamoja na kwamba alikuwa mkali kidogo hapo alichoka!
Nikabaki najiuliza, hizi bongo fleva zinapeleka wapi jamii yetu? Labda mwenzangu una jibu aisee.
Anyway jana jmos nilikuwa naskiza Radio One kipindi cha watoto.
Kama kawaida moderator naye ni mtoto. Ikawa kipindi cha methali, katoto kamoja kakapiga.
Methali Methali.
Wote wakamjibu, 'methaliii'.
Then akanimaliza kabisa alipouliza, 'LA KUCHUMPA?'
Na hapo wote wakamjibu bila hata kunyoosha mikono.
Moderator pamoja na kwamba alikuwa mkali kidogo hapo alichoka!
Nikabaki najiuliza, hizi bongo fleva zinapeleka wapi jamii yetu? Labda mwenzangu una jibu aisee.