Bonge la suprise

hapo ufwatiwa na mdindisho wa haja, chapu chapu room inaanza kupambwa kabati linapangwa chap kwa haraka .... alafu namtajia kituo...
nachili kusubiria msosi
 
Apo kabla kunibu jamaa asiye na miguu lazim asimame kwanza kwa kasi ya 6G. ndo ajibiwe kistaarabuu
 
Dah!!..mie nakuwaga kwenye khali fulani hivi ya kushiba hata kama nina njaa

Tena ukute mtoto ndo mara ya kwanza aje mgegede na unamwelewa pia

Hapa nilipo nasubiria sms ya hivyo kutumiwa maana kuna mtoto anatoka Tabora To Mwanza

Muda huu anahesabu kilometa tu na ndo mgegedo wa kwanza

Nimejipanga vya kutosha kukabiriana nae



"Enough of No Love"
 
Back
Top Bottom