Bondia afariki Dunia baada ya kupigwa ‘KO’

Mwanamasumbwi wa kike raia wa Mexico, Jeanette Zacarias Zapata amefariki dunia baada ya kupita siku tano tu tangu kupokea kipigo cha ‘KO’ ulingoni.

Jeanette Zacarias Zapata, 18, has died five days after being knocked out in a boxing fight

Jeanette Zacarias Zapata, 18 aliyefariki dunia

Zapata mwenye umri wa miaka 18, alipigwa ‘Knocked out’ raundi ya nne dhidi ya bondia Marie Pier Houle nakupelekea mwamuzi wa pambano hilo kulisimamisha na dada huyo tolewa ulingoni akiwa hoi hajitambui.

GoFundMe page begun for gravely injured boxer Jeanette Zacarias Zapata |  Montreal Gazette


Pambano hilo la ‘professional’ lilifanyika nchini Canada siku ya Jumamosi lilishuhudiwa, Zapata akipigwa ngumi nyingi mwishoni mwa mno raundi ya nne pasipo kuweza kurudisha hata moja wala kujilinda.

Promota wa mchezo huo, Yvon Michel amesema kuwa Zapata alipofikishwa hospitali na ‘ambulance’ akapata ‘coma’ kabla ya kufariki majira ya 3:45 alasiri.
Inasikitisha sana
 
Siku zake zilifika


Hata bongo hii iliwahi kutokea miaka ya nyuma hiyoo

Pambano lilikuwa p.t.a sabasaba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom