Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
alale mahala pema...demu pisi kali kabisa huyu
Inasikitisha sanaMwanamasumbwi wa kike raia wa Mexico, Jeanette Zacarias Zapata amefariki dunia baada ya kupita siku tano tu tangu kupokea kipigo cha ‘KO’ ulingoni.
Jeanette Zacarias Zapata, 18 aliyefariki dunia
Zapata mwenye umri wa miaka 18, alipigwa ‘Knocked out’ raundi ya nne dhidi ya bondia Marie Pier Houle nakupelekea mwamuzi wa pambano hilo kulisimamisha na dada huyo tolewa ulingoni akiwa hoi hajitambui.
Pambano hilo la ‘professional’ lilifanyika nchini Canada siku ya Jumamosi lilishuhudiwa, Zapata akipigwa ngumi nyingi mwishoni mwa mno raundi ya nne pasipo kuweza kurudisha hata moja wala kujilinda.
Promota wa mchezo huo, Yvon Michel amesema kuwa Zapata alipofikishwa hospitali na ‘ambulance’ akapata ‘coma’ kabla ya kufariki majira ya 3:45 alasiri.
Siyo kauwawaAmefariki
Hayati Karume aliona mbali ndio maana alipiga marufuku huu mchezoHii michezo ya hatari sijawahi kuishabikia
Kwa kweliHayati Karume aliona mbali ndio maana alipiga marufuku huu mchezo
"Mnapigana ili iweje? KIsa nini?"
Single touch, double manifestationKitalaam io tunaitaje
MauajiKitalaam io tunaitaje
huna akili hata moja wew kapime ukichaaYaahh it's good to the winning side.
Binti ataweka rekodi ya kumuua mtu kwa KO