G 6
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 506
- 235
Russia wameshindikana mbona wamewekewa vikwazo vingi tu lakini bado yupo imara... ana nchi chache tu rafiki ndo wanapeana support Anachofanya marekani ni kuzishinikiza nchi nyingine kuwa against Russia ili kumdhoofisha kiuchumi na kijeshi ili yeye atawale dunia lakini imekuwa mission imposibleVita ni mbinu na si wingi wa mabomu,mrusi akikaliwa kiuchumi anaomba poo