Bomoabomoa Yaikumba Nyumba Ya Shilingi bilioni 1

Bomoabomoa Yaikumba Nyumba Ya Shilingi bilioni 1

Dah! Iyo familia naijua vizuri kilichoandikwa ni ukweli mtu maeneo ya kimara bekari inasikitisha zaidi ya kusikitisha jamani alafu hiyo nyumba ipo mbali sana na bara bara zaidi ya mita 90 inashangaza barabara kufika huko nashindwa kuielewa hii sarikali jamani ivii hawa viongozi wanajiskiaje kufanya uwonevu wa hali ya juu kwa wananchi wake? Nawakumbusha tu cheo ni thamana ipo siku isiyo na jina utaulizwa juu ya watu uliyowaongoza tujaribu kuwa na utu wa kibinadamu izi sheria tunazitunga wenyewe lakini muda mwingi tuwe na utu hii dunia tunapita tu

Oih hyo familia ya Kawa ni wale wahaya wanakaa kijitonyama karibu na Africa Sana, huyo mama ni mjane.

Siwezi kuwataja watoto wake ila ana mmoja wa kiume mnene mweusi jina lake linaanziwa na M....huyo jamaa ana mdogo wake wa kike kaolewa juzi kati hapa na mchagga ana watoto wawili now...her name linaanziwa na P.

Kama ni hao nawajua. Duuh its soo sad.
 
Kuna mtu nilimsikia akihalalisha bomoa bomoa kwenye moja ya miradi kwa kutumia sheria ya mwaka 1905!!! Mungu anamuona anasahau kuwa dunia no mapito tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika huu utawala umelaaniwa pamoja na anayeuongoza.Kutoka 60m mpaka 120m na halipwi mtu!!!Iko siku yao na watakufa midomo wazi kwa kuwanyanyasa walio wafanya wao wakawa vinyago.
Hata waliompigia kura wanalia kama mbwa mwizi.
 
NA MBADO

Kwani alijiweka mwenyewe madarakani au mlimpigia kura?


Wabillah Tawfiq,
 
Usione kuna watu wanashangilia kubomolewa kwa nyumba za watanzania wenzetu tena bila kujali thamani kubwa binadamu aliyowekeza kwa ajili yake na familia yake bila huruma, Watanzania wengi ni wanafiki na roho mbaya zikiwemo roho za kwanini.

Watu wanapoteza dira ya maisha kwa kubomolewa nyumba zao pasipo huruma wapo wanaoshangilia kisa hayajawakuta, wapo waliofukuzwa kazi kwa issue ya vyeti wapo walioshangilia kwa sababu hawajaguswa wao, wapo waliotumbuliwa kwa sabababu hata ya makosa ya wengine lakini wapo walioshangilia kutumbuliwa kwao. Hapa ndo ninapoona unafiki na roho mbaya za ndugu zangu watz.
 
Tunakata barabara.Kuwa na shamba tokea mwa 1920,hakukufanyi uwe juu ya sheria
 
Unakijua lakini ulichokiandika au unaota?

Sioti, najuac economy ya Tanzania ilivyokuwa, najuwa bei ya nyumba Tanzania ilikuwa ya vichekesho. Wakati economy ya nchi na bei za nyumba zilikuwa haziendi Pamoja. Kuna Mtanzania gani mwenye kipato cha kawaida anaweza kujenga nyumba nyumba ya billioni moja? Hakuna, either mpiga dili au ameajiliwa nje ya nchi. .
 
Serikali inahamia dodoma halafu wanajenga dar, huko dom wanalala mabwenini udom,
 
Fedha wachume mgodini geita wazitumbue dar kuna haja ya kuangalia namna mpya ya kutawalana
 
Kwakweli ili la mita 120 kila upande ni jambo la kuwaumiz watu maana ilikuwa 60
Sijui hata hizo mita 120 wanataka wazifanyie nini, ukiangalia hasara wanayopiteza wananchi+gharama za kuja kujenga hizo mita 120 kila upande = Ni afadhali kujenga flyover katika mita 60 kama mwanzo. Tatizo sheria zinapitishwa kishabiki kisa mkuu kasema, basi wabunge wetu wa CCM wao ni kupitisha tu. Dunia ilishahama kwenye matumizi ya barabara kuwa pana, siku hizi ni flyover na underground tunnel.
 
Dah! Iyo familia naijua vizuri kilichoandikwa ni ukweli mtu maeneo ya kimara bekari inasikitisha zaidi ya kusikitisha jamani alafu hiyo nyumba ipo mbali sana na bara bara zaidi ya mita 90 inashangaza barabara kufika huko nashindwa kuielewa hii sarikali jamani ivii hawa viongozi wanajiskiaje kufanya uwonevu wa hali ya juu kwa wananchi wake? Nawakumbusha tu cheo ni thamana ipo siku isiyo na jina utaulizwa juu ya watu uliyowaongoza tujaribu kuwa na utu wa kibinadamu izi sheria tunazitunga wenyewe lakini muda mwingi tuwe na utu hii dunia tunapita tu

Shetani naye anashangaaa!!! maana hata ipite miaka elfu (1000) barabara haiwezi kufika kwenye hizi frem za huyu mhanga. serekali ingeacha tu watu waendeleekuishi jamani!!! mpaka tufikie hayo maendeleo kha!
 
Shetani naye anashangaaa!!! maana hata ipite miaka elfu (1000) barabara haiwezi kufika kwenye hizi frem za huyu mhanga. serekali ingeacha tu watu waendeleekuishi jamani!!! mpaka tufikie hayo maendeleo kha!

Mheshimiwa Rais angefanya hata ziara ya hayo maeneo ajionee labda huruma ingemjia.
 
Sioti, najuac economy ya Tanzania ilivyokuwa, najuwa bei ya nyumba Tanzania ilikuwa ya vichekesho. Wakati economy ya nchi na bei za nyumba zilikuwa haziendi Pamoja. Kuna Mtanzania gani mwenye kipato cha kawaida anaweza kujenga nyumba nyumba ya billioni moja? Hakuna, either mpiga dili au ameajiliwa nje ya nchi. .
Mawazo yako na ya mkulu hayana tofauti.
 
Back
Top Bottom