Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,837
Aise kweli serikali hii ni ya wanyonge!
OvA
Wanyonge wa kujenga nyumba ya Bilioni 1???????
Aise kweli serikali hii ni ya wanyonge!
OvA
Sheria ni msumeno...kama mnaona sheria mlizozitunga hazifai zirejesheni bungeni basi...
Kwani ni moja???Wanyonge wa kujenga nyumba ya Bilioni 1???????
mola atusaidie.Kama ulisomaga hesabu za SEQUENCE AND SERIES basi ya mwaka ujao 2018 yanaweza kutabirika kwa kuangalia hapa nilipo-bold.
Ivi hujawajua watu wahumu ndugu yangu wengi hawajielewi jitu linatoa mchango wa mawazo pasipo kusoma kilichoandikwa au anaweza kusoma lakini hafinyi uchambuzi wa kile alichokisoma hata dk mbili tu matokeo yake anaandika vitu visivyo na kichwa wala miguu alafu anajiita msomi inauzunishandugu yangu umesoma vizuri hadi mwisho?
ni kwamba hao waliowekeza hizo nyumba za bilioni moja walikuwa wanamiliki hilo eneo tangu mwaka 92.na lilipimwa na likaonekana lipo umbali wa zaidi ya mita 60..
sheria zamani inasema mtu anaruhusiwa kujenga umbali wa mita 60.
sasa hivi wametangaza bomobomoa kwa umbali wa mita 120..yani mara mbili ya ule uhalali wa mita 60.
watu wanajiuliza imekuwaje sheria imepitishwaje..iweje ibadilike ghafla?
basi labda kuna fidia..hakuna.
huu si uonevu??
imagine ungekuwa wewe?
***** magufuli na viongozi wako!
tunataka haki itendeke.
Acha 2018! Kitu ni 2021! Hapo hakuna kubembelezana!mwaka 2016 ulikuwa mbaya..lakini huu mbaya zaidi....sipati picha 2018 itakuwaje.
2019 mapema tutaanza kuwasha moto...Acha 2018! Kitu ni 2021! Hapo hakuna kubembelezana!
mihemko tu inawaemdesha..Ivi hujawajua watu wahumu ndugu yangu wengi hawajielewi jitu linatoa mchango wa mawazo pasipo kusoma kilichoandikwa au anaweza kusoma lakini hafinyi uchambuzi wa kile alichokisoma hata dk mbili tu matokeo yake anaandika vitu visivyo na kichwa wala miguu alafu anajiita msomi inauzunisha
Aisee,
Najiuliza wakati wanajenga hawakujua kama ni mita 120??
Au walijua ila wakajiambia kua pengine hizo mita 120 ni za zamani kuna mpya zaidi ambazo wako safe??
Bomoabomoa yaikumba nyumba ya Sh 1b/= Mwananchi
Hayajakukuta wewe ...endelea kuweka miguu au umekunja nne huku unaandika comments zako hizoSheria ni msumeno...kama mnaona sheria mlizozitunga hazifai zirejesheni bungeni basi.
Huko hata mkitaka nyumba zijengwe katikati ya barabara ni juu yenu.
Kwa sasa acha sheria iliyopo ifuate mkondo.