cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,662
- 78,136
Wizara ya ardhi itazuia nyumba isibomolewe?
Mmmmh umeona nimeongelea juu ya nyumba kutobomolewa au?
Wizara ya ardhi itazuia nyumba isibomolewe?
Ama kweli nyani halioni.... Wewe mbona uwa unasapoti kila takataka ya ccm hapa..
Umenipa nakala kama Mwanasheria,mpinzani au mtetezi wa ACACIA? Umenisikitisha sana mkuu kunijumuisha katika fikra zako.TLS + Lissu+ Wapinzani haya ndio mambo ya kushikia bango kuwatetea watu kama sheria ya 120M badala ya 60M ilitungwa wakati nyumba hizi zikiwa zimeshajengwa tayari na zipo nje ya 60M za hifadhi ya barabara.
Kama ni haki kuvunjwa sheria haijakiukwa basi wapeni elimu wananchi waitambue sheria. Pia muilazimishe serikali kuwazuia watu mapema wasijenge mahali pasiporuhusiwa ili kuepusha kadhaia kama hii yenye kutia watu umasikini mkubwa.
Tusiwekeze nguvu kubwa ktk kutetea wawekezaji toka nje kama ACCACIA na wawekezaji wengine wa viwanda walivyoshindwa kuviendeleza.
CC: Petro E. Mselewa
Pascal Mayalla
...kwani ulipowashauri CUF uliwashauri kama Mwanasheria,mpinzani au mtetezi wa Maalim Seif?Umenipa nakala kama Mwanasheria,mpinzani au mtetezi wa ACACIA? Umenisikitisha sana mkuu kunijumuisha katika fikra zako.
Ameenmola atusaidie.
Wakikurupuka wanaweka sheria mpya bila kuangalia kuwa wananchi wataumizwa na kuzoroteshwa uchumi.Kwakweli ili la mita 120 kila upande ni jambo la kuwaumiz watu maana ilikuwa 60
Naona hukumuelewa....Una roho ya kichawi sana wewe mchumia tumbo
Mkuu nakala kama mwanasheria tu na si vinginevyo, kama umenielewa vibaya naomba tusameheane mkuu. Lengo hasa unifafanulie sheria hiyo ya umbali wa 120M ni ya lini? Nimesikitishwa sana na sakata hili la bomoa bomoa Morogoro road.Umenipa nakala kama Mwanasheria,mpinzani au mtetezi wa ACACIA? Umenisikitisha sana mkuu kunijumuisha katika fikra zako.
Ndio waandishi wetu tulionao hawaHuyu mwandishi ametuletea habari ya upande mmoja ya wabomolewaji lkn hajajihangaisha kupata habari za upande wa pili yaani wabomoaji.Habari ina mapungufu manake imeegemea upande mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali. Nitarudi hivi karibuni na elimu juu ya jambo hilo.Mkuu nakala kama mwanasheria tu na si vinginevyo, kama umenielewa vibaya naomba tusameheane mkuu. Lengo hasa unifafanulie sheria hiyo ya umbali wa 120M ni ya lini? Nimesikitishwa sana na sakata hili la bomoa bomoa Morogoro road.
Serikali ya wanyonge ngoja iwanyonge haswa.
Mkuu wewe umezoea kulala kwenye tembe utajulia nyumba ya 1B.Nyumba ya billioni 1 iko wapi?