Qurie
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 3,645
- 3,889
Mmhh usiombe yakukute, usiombe kabisa nyumba uliyoijenga kwa mkopo iliyoijenga kwa kujibana umeamua kutokuvaa vizuri ili angalau ujenge MTU unavaa kiatu kimechoka kimepinda unajikaza angalau na wewe uwe na kwako wàtoto wako mda mwingine wanakula vyakula ambavyo hata wewe mzazi havikuridhishi................
Alafu Leo hii linakuja agizo na unajua kwamba nyumba yako pia itakua kenye mkumbo Wa kubomolewa inauma hujui utaenda wapii mmmhh inauma Mimi binafsi naomba Mungu yasinikute omba Mungu yasikukute na hao yaliyowakute Mungu awatie nguvu yakutokukata tamaa Luna maisha baada ya hapo
Alafu Leo hii linakuja agizo na unajua kwamba nyumba yako pia itakua kenye mkumbo Wa kubomolewa inauma hujui utaenda wapii mmmhh inauma Mimi binafsi naomba Mungu yasinikute omba Mungu yasikukute na hao yaliyowakute Mungu awatie nguvu yakutokukata tamaa Luna maisha baada ya hapo