

Yan usishangae mimi nitampigia kura JPMCha ajabu utashanga 2020 wanapewa t shirt na kofia halafu wanaipigia kura tena CCM
Lile lazima liondoke ndugu kuna flyover pale na ujenzi umeshaanza kwahiyo litaporomoshwa tu,umeshasahau alitaka kulishusha alupokuwa waziri wa ujenzi,kukatokea sintofahamu ubomoaji ukasimama!!Lakini pia ukumbuke upanuzi huu ulianzia tokea maeneo ya Magomeni mapipa na nina uhakika watu walishakuwa na taarifa juu ya huu upanuzi wa barabara,nacho ona hapo ni kuwa watu walikuwa wanajipa moyo kuwa inaweza kuwa ni hadithi.nasubiri jengo la Tanesco ubungo
Sheria ni msumeno...kama mnaona sheria mlizozitunga hazifai zirejesheni bungeni basi.
Huko hata mkitaka nyumba zijengwe katikati ya barabara ni juu yenu.
Kwa sasa acha sheria iliyopo ifuate mkondo.
Zamani ilikua mita 60Aisee,
Najiuliza wakati wanajenga hawakujua kama ni mita 120??
Au walijua ila wakajiambia kua pengine hizo mita 120 ni za zamani kuna mpya zaidi ambazo wako safe??
Kama kanuni (sheria zinazotungwa na waziri wa wizara husika. JPM wakati huo i.e 2009) hazijabadilishwa basi SOMA HAPA kujiridhisha.mie najua 60 kushoto 60 kulia jumla 120 sasa hiyo ya 120 kushoto na 120 kulia hiyo siijui tafadhali nisaidieni pia kuna kibanda najenga sehemu isije ikanikuta
muwe na ubinadamu nyie. Siyo kila sheria unaifuata bila kuangalia athari kwa umma.Sheria ni msumeno...kama mnaona sheria mlizozitunga hazifai zirejesheni bungeni basi.
Huko hata mkitaka nyumba zijengwe katikati ya barabara ni juu yenu.
Kwa sasa acha sheria iliyopo ifuate mkondo.
Angekuwa Mimi ungekuta nilishapoozaSpeechless