Bomoabomoa Yaikumba Nyumba Ya Shilingi bilioni 1

Bomoabomoa Yaikumba Nyumba Ya Shilingi bilioni 1

Sheria ni msumeno...kama mnaona sheria mlizozitunga hazifai zirejesheni bungeni basi.

Huko hata mkitaka nyumba zijengwe katikati ya barabara ni juu yenu.

Kwa sasa acha sheria iliyopo ifuate mkondo.
unasema hivyo kwa sababu bado unaish kwa shemeji,ujui uchungu wa ujenzi
 
Sawa, Asante. Tunaokaa kwenye nyumba za tembe Tanzania ndiyo tuko wengi. Sasa utanieleza HUYU Mtanzania mwenye nyumba ya billioni moja anafanya kazi gani? Na JE mapato yake yanaendana na kodi aliyolipa? Ama mumeandika billioni moja kwa kufikilia serikali ya Magufuli itatowa fidia ya billioni moja? Wizi siku hizi sio rahisi. Nyumba kama hiyo itajengwa kwa milioni 150 tu. Ufisadi Umepunguwa. Serikali siku hizi inanunuwa direct hakuna tenda za kununua soda moja elfu hamsini, hiyo ilikwisha na serikali ya Kikwete. Billioni 1 ya Tanzania ni sawa na £340,000 pesa za Uingereza. Sasa pesa hiyo inaweza kununua nyumba aina kama Hii, ambako wajenzi wanapokea mishahara mikubwa, itakuwa Tanzania ambako hata Barbara a hakuna. Hizo bei zilikuwa za serikali ya nne economy fake. Nyumba zilikuwa zinauzwa na bei ya dili, nyingi zikinunuliwa na pesa za dili kutoka serikalini.

Rossett near Wrexham: £199,000 , Sawa na 600,000 Tanzanian Shilling

Sasa fananisha na hiyo nyumba ya billioni moja.

manor-lane-1-bed-199k-jackson-stops-and-staffJPG.jpg

Aunt yangu ni mstaafu UN,amefanya kazi nchi nyingi,amejenga nyumba ya ghorofa 1,nzuri sana,na matilio mengi kutoka nje,imemgharimu 400 milioni tu,ni ya hali ya juu sana,sasa hapa hivi nyumba ya 1 bilion namimi mbona siioni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadi huruma yani....hiii nchi ilipofika sasahv bila raia kuamua mabadiliko..tutaendelea kutesekaa sanaa..

Maana sisiemuu kamwe hawez kumjali mtu wa chini ila ni kumkandamiza tu coz hapa tulipo wao ndo wametufikisha hapa
 
Sheria ni msumeno...kama mnaona sheria mlizozitunga hazifai zirejesheni bungeni basi.

Huko hata mkitaka nyumba zijengwe katikati ya barabara ni juu yenu.

Kwa sasa acha sheria iliyopo ifuate mkondo.
Unaongelea sheria gani, iliyotungwa mwaka gani?
 
Hakika huu utawala umelaaniwa pamoja na anayeuongoza.Kutoka 60m mpaka 120m na halipwi mtu!!!Iko siku yao na watakufa midomo wazi kwa kuwanyanyasa walio wafanya wao wakawa vinyago.
Jidanganye. Sheria ni msumeno mlizoea kuishi kwa mazoea .lazima mpate shida. Hakuna cha kulaaniwa wala nini. Mambo poa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala linabaki palepale, kujenga kwenye hifadhi ya barabara ni sawa kuteka maji kwa kutumia gunia. Kwa sababu kama unajua sheria zinabadilika mara kwa mara kutokana na mahitaji yaliyopo kwa nini usiwekeze sehemu unayojua haiwezi kuathirika na hizo sheria hata zikibadilika? Unajenga kwenye highway eti unaishia kwenye 60 zilizowekwa na sheria si upuuzi huo. Kwa nini na wewe usiongeze mita zako chache ili kujihakikishia usalama zaidi?
Kweli wewe ni MABOSO!!.
 
Aunt yangu ni mstaafu UN,amefanya kazi nchi nyingi,amejenga nyumba ya ghorofa 1,nzuri sana,na matilio mengi kutoka nje,imemgharimu 400 milioni tu,ni ya hali ya juu sana,sasa hapa hivi nyumba ya 1 bilion namimi mbona siioni

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwenzangu, Tanzania pesa hazina thamani, kila mtu anaongea mabilioni, na umasikini ndiyo wetu. Pesa zinazosemwa na nyumba haionekani, wajenzi walimudanganya.
 
Back
Top Bottom