Usikurupuke,soma uelewe.Aisee,
Najiuliza wakati wanajenga hawakujua kama ni mita 120??
Au walijua ila wakajiambia kua pengine hizo mita 120 ni za zamani kuna mpya zaidi ambazo wako safe??
Cha ajabu utashanga 2020 wanapewa t shirt na kofia halafu wanaipigia kura tena CCMvilio na kusaga meno awamu hii
Usikurupuke kujibu,Usikurupuke,soma uelewe.
Soma ulichokiandika kisha rudi tena kukomenti.Usikurupuke kujibu,
Sitegemei kuelewa kwa kusoma hapa, kwani hapa sio mara yangu ya kwanza kulisikia hili swala,
nasubiri jengo la Tanesco ubungo
Hujui utendalo.....labda kwa kuwa jina lako linafanana na utendacho. "Do yu think law is retrospective??"Sheria ni msumeno...kama mnaona sheria mlizozitunga hazifai zirejesheni bungeni basi.
Huko hata mkitaka nyumba zijengwe katikati ya barabara ni juu yenu.
Kwa sasa acha sheria iliyopo ifuate mkondo.
Ok,Soma ulichokiandika kisha rudi tena kukomenti.
Ndio maana nikakwambia soma uelewe usikurupuke.Ok,
Namaanisha miaka hiyo wakati wanajenga walielewa lakini kua ile barabara reserve yake ni mita 120 kila upande??
Au walielewa hiyo mita 120 ni total hivyo wakaigawa na kupata 60 kila upande??
Au ilikua ni mita 60 kila upande kisha baadae ikaja kubadilika??
Unakurupuka vibaya sana Ndugu,Ndio maana nikakwambia soma uelewe usikurupuke.
Rudi mwanzo ukasome thread upya.
Umesoma post yote kweli mkuu?? maana ulichoandika hapa kimejibiwa kwenye post!!Sheria ni msumeno...kama mnaona sheria mlizozitunga hazifai zirejesheni bungeni basi.
Huko hata mkitaka nyumba zijengwe katikati ya barabara ni juu yenu.
Kwa sasa acha sheria iliyopo ifuate mkondo.
Kama ulisomaga hesabu za SEQUENCE AND SERIES basi ya mwaka ujao 2018 yanaweza kutabirika kwa kuangalia hapa nilipo-bold.mwaka 2016 ulikuwa mbaya..lakini huu mbaya zaidi....sipati picha 2018 itakuwaje.