Bomoabomoa Yaikumba Nyumba Ya Shilingi bilioni 1

Bomoabomoa Yaikumba Nyumba Ya Shilingi bilioni 1

Mimi sielewi kwa nini kubomolewa nyumba ya 1b imekuwa ishu hapa. Huyu kama ameweza kujenga nyumba ya thamani hiyo hawezi kukosa mahala pa kuishi. Kwangu mimi zile nyumba ambazo zimechakaa na wananchi wake hawana uwezo wa kuzikarabati na wanaishia kubomolewa ndio ishu. Wanachi hawa wataishia kulala nje hivyo kuwakosesha hitaji muhimu la binadamu kulingana na azimio la arusha

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma vizuri hiyo taarifa! Hajaanza kujenga leo au Jana, ni Uwekezaji wa tangu Miaka ya 1990s! Na kumbuka Ardhi ina appreciate in value, kama uliinunua Shilingi 50,000/ mwaka 2000 usitegemee thamani yake ikawa the same as this date 2017! Fungua Akili!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa waandishi sijui walisomea wapi kazi eanazofanya.. mtu analeta habari ya upande wa wenye nyumba.. yaani wamekosa ujuzi kwenda wizara ya ardhi kupata habari kamili.. na kuacha haya ya wananchi kutokupata ukweli na wengine kujua na kujipanga katika maisha yao kueasaidia na haya ya barabara.. ni bure kabisa hawa waandishi wa nchi yetu.. yaani bure kabisa

Mwakyembe fanya ulilotaka kucheki juu yao
Wizara ya ardhi itazuia nyumba isibomolewe?
 
Aisee,
Najiuliza wakati wanajenga hawakujua kama ni mita 120??
Au walijua ila wakajiambia kua pengine hizo mita 120 ni za zamani kuna mpya zaidi ambazo wako safe??
Sheria ilikuwa mita 60 pande zote recently imebadilishwa kuwa mita 120 pande zote cha kujiuliza je Sheria zetu zinaaply in retrospective?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka atakapoyashuhudia mashetani waziwazi.....ndo ataridhika..

Tatizo mmekua wabishi kureveal ushetani...

Ameanza Jini Kabula..tumuunge mkono.
 
Hawa waandishi sijui walisomea wapi kazi eanazofanya.. mtu analeta habari ya upande wa wenye nyumba.. yaani wamekosa ujuzi kwenda wizara ya ardhi kupata habari kamili.. na kuacha haya ya wananchi kutokupata ukweli na wengine kujua na kujipanga katika maisha yao kueasaidia na haya ya barabara.. ni bure kabisa hawa waandishi wa nchi yetu.. yaani bure kabisa

Mwakyembe fanya ulilotaka kucheki juu yao
Ama kweli nyani halioni.... Wewe mbona uwa unasapoti kila takataka ya ccm hapa..
 
Soma vizuri hiyo taarifa! Hajaanza kujenga leo au Jana, ni Uwekezaji wa tangu Miaka ya 1990s! Na kumbuka Ardhi ina appreciate in value, kama uliinunua Shilingi 50,000/ mwaka 2000 usitegemee thamani yake ikawa the same as this date 2017! Fungua Akili!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninachojua mimi sheria imekuwepo kitambo sana hasa katika barabara kuu ambazo sheria inasema mita 60 tokea katikati mwa barabara kila upande, ambapo upana wake utakuwa 120.Lakini 120m kwa kila upande kama mwandishi anavyotaka kutuaminisha, sheria haijabadilika.

Nimewahi bishana na watu fulani, wao wakidhani ni mita 60 upana wa barabara yote, wakihesabu 30m tokea katikati mwa barabara, nadhani kuna haja ya elimu katika jambo hilo, hakuna kilichobadilishwa katika sheria za barabara kuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TLS + Lissu+ Wapinzani haya ndio mambo ya kushikia bango kuwatetea watu kama sheria ya 120M badala ya 60M ilitungwa wakati nyumba hizi zikiwa zimeshajengwa tayari na zipo nje ya 60M za hifadhi ya barabara.

Kama ni haki kuvunjwa sheria haijakiukwa basi wapeni elimu wananchi waitambue sheria. Pia muilazimishe serikali kuwazuia watu mapema wasijenge mahali pasiporuhusiwa ili kuepusha kadhaia kama hii yenye kutia watu umasikini mkubwa.

Tusiwekeze nguvu kubwa ktk kutetea wawekezaji toka nje kama ACCACIA na wawekezaji wengine wa viwanda walivyoshindwa kuviendeleza.
CC: Petro E. Mselewa
Pascal Mayalla
 
Nikiwa NA pesa bora nikajenga kijijini haisee,mjini mambo unajenga ya kawaida2 ,sasa unakuta huyo kijijini kajenga kajumba NA kawaida2 ,serikali ya Tanzania hainaga huruma NA wala haijali wananchi wake,nashinadwa kuelewa nchi inakosaje plans sijui yaani mambo ya kubangaiza2!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa NA pesa bora nikajenga kijijini haisee,mjini mambo unajenga ya kawaida2 ,sasa unakuta huyo kijijini kajenga kajumba NA kawaida2 ,serikali ya Tanzania hainaga huruma NA wala haijali wananchi wake,nashinadwa kuelewa nchi inakosaje plans sijui yaani mambo ya kubangaiza2!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sumu inayotengenezwa na CCM ni balaa sana kwa watu wa mjini.
 
Sheria ni msumeno...kama mnaona sheria mlizozitunga hazifai zirejesheni bungeni basi.

Huko hata mkitaka nyumba zijengwe katikati ya barabara ni juu yenu.

Kwa sasa acha sheria iliyopo ifuate mkondo.
Mkuu mbona bombadia zimenunuliwa bila kufata sheria za manunuzi?
 
Sheria ni msumeno...kama mnaona sheria mlizozitunga hazifai zirejesheni bungeni basi.

Huko hata mkitaka nyumba zijengwe katikati ya barabara ni juu yenu.

Kwa sasa acha sheria iliyopo ifuate mkondo.
Sheria ni Msumeno sio?

Tanesco Ubungo na wizara ya Maji wanabomoa lini mkuu?

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom