Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 24,940
- 26,796
Toba yarabi nyumba ya rafiki yangu hussen mpiga picha imebomolewa kama kweli ni maeneo hayo
Mwambie basi atuwekee picha
Toba yarabi nyumba ya rafiki yangu hussen mpiga picha imebomolewa kama kweli ni maeneo hayo
Inafaa kutembea na gari ya matangazo yenye huu wimboNawavimbe wapasuke, watajijua wenyewe, wacha waisome namba eeeeeenhhh, CCM mbele kwa mbeleeeee
Mwambie basi atuwekee picha
Chagadema at its bestHatujinyongi hatunywi sumu ccm mbele kwa mbele acha waisome Namba haa ccm mbele kwa mbele wamechagua wenyewe chaguo lao milele wacha waisome Namba ccm mbele kwa mbele x2
Toba yarabi nyumba ya rafiki yangu hussen mpiga picha imebomolewa kama kweli ni maeneo hayo
Dar! jamani mwaka huu tumeuanza vibaya tuwaombee kwani inasikitisha kwa kweli suala hili ni balaa! ukibomolewa nyumba fikilia jinsi ulivyodunduliza pesa na kujenga baada ya kutoka kupanga Yarabi toba!
Tanzania tulikosea kutokuwa makini kwenye kusimamia na kuzuia ujenzi holela.
Leo tuseme asilimia kubwa nchi nzima wanaishi kwenye makazi ambayo hayo hayajapimwa.