lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,470
- 9,053
Kesi!?Mkuu Tazara ipi hiyo maana ninachofahamu kuna kesi Mahakamani iliyofunguliwa na Wananchi hao kupinga kubomolewa bila fidia.
Nchi hii kwa sasa ni mwendo wa matamko na kushtukizana, sheria pembeni kwanza ....sijui kwa muda gani!