carter
JF-Expert Member
- Jan 23, 2009
- 3,664
- 4,272
Ni muda gani mtu anastahili alipwe toka tathimini imefanywa carter?
Baada ya tathmin ndo malipo yanafuata..na hela walizipokea iwe ndogo au nyingi tayari wamepokea na kwakupokea ndo tayar wamekubali kuondoka hapo. Sasa ndo maana unaona ambao hawakuzipokea hizo ndogo wamepata nyingi. Ndo bahati yao hao waliochukua hizo chache mapema na ukute washazitumia ndo balaa lake...narudia kusema wangeondoka mapema wasingepata haya