Kwani hawa watu hawakulipwa? Nadhani walilipwa na baada ya hapo walipashwa kuanza kuondoka. Tatizo ni kwamba baada ya kutoa malipo, serikali ukaa muda mrefu bila kuanza ujenzi hivyo kuwafanya waliolipwa au kuamua kuwauzia watu hizo nyumba na wao kuondoka au kujisahau kwamba kuna siku watatakiwa kuondoka. Wanaonunua wanakuwa hawaelewi kinachoendelea kwamba muuzaji aliisha lipwa ili ahame. Utakuta wengi wa waliovunjiwa sio wenye majumba original. Hii ilitokea hata kwa wale waliohamishwa kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege kule Kipawa, watu waliliwa kweli kweli.
Tiba