Bomoa bomoa imeanza Kurasini Matankini

Bomoa bomoa imeanza Kurasini Matankini

uploadfromtaptalk1376897370752.jpg
ulinzi umeimarishwa.
mia
 
I see. . .
Pole zao, kubomolewa nyumba third world families ni umaskini wa hali ya juu.
 
Kwani hawa watu hawakulipwa? Nadhani walilipwa na baada ya hapo walipashwa kuanza kuondoka. Tatizo ni kwamba baada ya kutoa malipo, serikali ukaa muda mrefu bila kuanza ujenzi hivyo kuwafanya waliolipwa au kuamua kuwauzia watu hizo nyumba na wao kuondoka au kujisahau kwamba kuna siku watatakiwa kuondoka. Wanaonunua wanakuwa hawaelewi kinachoendelea kwamba muuzaji aliisha lipwa ili ahame. Utakuta wengi wa waliovunjiwa sio wenye majumba original. Hii ilitokea hata kwa wale waliohamishwa kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege kule Kipawa, watu waliliwa kweli kweli.

Tiba
 
uploadfromtaptalk1376897623183.jpg uploadfromtaptalk1376897623183.jpg ]. mia
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376897672062.jpg
    uploadfromtaptalk1376897672062.jpg
    42.5 KB · Views: 118
  • uploadfromtaptalk1376897709603.jpg
    uploadfromtaptalk1376897709603.jpg
    45.6 KB · Views: 24
Tunageuzwa wakimbizi nchini mwetu. Hata wakoloni hawakuwanyang'anya watu ardhi kiasi hiki. Hatukuwa na walowezi (settlers) kama Kenya ama Zimbabwe. Watu waliachwa na rasilmali ardhi ambayo iliwapa heshima na utu wao (dignity). JK na serikali yake wanawavua waliowaweka madarakani hata utu wao. Lakini kitaeleweka! Kura zetu zitaongea 2015. Nitashangaa sana watu wakiendelea kuichagua ccm!
 
wakati mwingine wananchi nao wanashida zao, unakuta wamelipwa lakini bado wabishi kuondoka.
 
inatia huruma sana nchi ambayo haithamini watu wake Tanzania inaongoza


Mkuu kuonyesha hiyo haitoshi Wawakilishi wetu, Kamati ya Ardhi,Maliasili na Mazingira chini ya James Lembeli nao wako Kibada -Kigamboni wakiandaa Mazingira mengine ya zoezi la Ubomoaji nyumba kama hiyo inayoendelea Kurasini badala ya kutumia mamlaka ya Kibunge kusitisha zoezi hili sililofuata sheria kusitishwa mpaka kesi iliyoko Mahakamani iishe lakini wapi?

Maisha bora kwa kila mtanzania kwa Serikali hii yanapatikana kwa staili hiyo.
 
nina uhakika siku mtu akiuanzisha uasi kwa kuwapa silaha wananchi kama hawa mbona atapata tu jeshi kubwa maana watu wamechoka
 
Hii ndio serikali ya kubomoa na sio kujenga. Majanga makubwa nakupenda nchi yangu Tanzania.
 
wakati mwingine wananchi nao wanashida zao, unakuta wamelipwa lakini bado wabishi kuondoka.

Serikali yetu dhalimu sana zumbemkuu.....tathimini ilifanyika toka 2008 wamekuja kulipwa 2009 mwishoni,je sheria inasemaje hapo?
Kuna kaya kama 10 kati ya kaya 270 na ushee hazikupokea pesa kipindi hicho ingawa tathimini ilifanyika wao tena kwa kauli ya wazir mkuu watalipwa mil 300 per kaya wakati wenzao walilipwa milion 20,30,40 hakuna aliyezid 100.....watu wana haki yakuzimia kwa maana walitarajia makubwa toka kwa waziri wao.
Poleni wana Kurasini!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom