mkunyegere
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 453
- 93
View attachment 107779
baadhi ya wenye nyumba wamepoteza fahamu, hawana msaada. mia
Huyo hakutaka kutii sheria ndio maana yamemkuta hayo
View attachment 107779
baadhi ya wenye nyumba wamepoteza fahamu, hawana msaada. mia
Wanapozungumza wakazi hao wanasema ya kuwa pesa walizolipwa zilikuwa chini ya kiwango. Kuna mama mmoja alisikika akisema alilipwa shilingi milioni 27, na hajapewa kiwanja. Maana yake ni kwamba katika hiyo milioni 27 anunue kiwanja na ajenge nyumba ya kuishi yeye na familia yake. Halafu wiki iliyopita wakapewa siku saba wawe wamehama, wakati huenda hata hiyo milioni 27 wameshaitumia hata kama si yote kwa matumizi mengine. Kweli kama sio kuwapa watu ufukara wa kudumu ni nini?
Ama kweli maisha bora kwa kila mtanzania tunayaona. Naona ccm imeamua kama alivyosema Pinda, Liwalo na Liwe!
"Hapa kazi tu!"Kwani sheria ina semaje