TCleverly
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,921
- 873
hizi nchi zetu za dunia ya tatu bila kuwa kadikteta na ukatili kidogo mambo hayaendi,utakuta wamelipwa siku nyingi lakini kuhama hawahami hadi waje kubomoa ndio watu wataanza kulaumu kwa nini wanabomolewa...mfano yule mzee wa greenacres pale victoria....hawawezi kuja kubomoa tu bila taarifa au kuwalipa