Bombing: Tanzania frees 3 Emiratis

Bombing: Tanzania frees 3 Emiratis

Hii ndio Tz,wawalipe fidia basi

Jioni njema hutokea kukamata randomly; Mwezi jana kwenye tokeo la Boston Marathon bomu, Tangazo la kwanza kabisa wamerekaniUS na taaluma zote za kiintelijensia baada ya mripuko tu walitangaza eti Msaudi ndo mhusika na ni kijana mwanafunzi tumemkaribia kumweka nguvuni !! (hapo boston peke kuna wanafunzi zaidi ya elfu5 wa kisaudia) Looh,
Wakuu hao baadaye kupeleleza waka geuza kibao na kuomba radhi na kutoa taarifa ingine kuwa walotenda ni wa CHECHENIA/warussi. eti wanafanana, Sasa mambo kama haya yanatokea kukamata mtu katika " WRONG PLACE and WRONG TIME"...
Lakini tusubiri reporti ya FBI hao mababa riwaya yao ni nini? Hakuna siri itakayo fichwa milele!!
good luck.
 
Sina shaka yo yote kuwa madereva wa bodaboda hawahusiki na ulipuaji wa bomu kanisani! Mlipuaji bado yuko mitaani anadunda!

Cha kushangaza askari wetu walishindwa hata kuchukua alama za vidole katika pikipiki aliyopanda huyo gaidi!?
 
tusubiri feds tuangalie na wao watakuja na nini


Jioni njema hutokea kukamata randomly; Mwezi jana kwenye tokeo la Boston Marathon bomu, Tangazo la kwanza kabisa wamerekaniUS na taaluma zote za kiintelijensia baada ya mripuko tu walitangaza eti Msaudi ndo mhusika na ni kijana mwanafunzi tumemkaribia kumweka nguvuni !! (hapo boston peke kuna wanafunzi zaidi ya elfu5 wa kisaudia) Looh,
Wakuu hao baadaye kupeleleza waka geuza kibao na kuomba radhi na kutoa taarifa ingine kuwa walotenda ni wa CHECHENIA/warussi. eti wanafanana, Sasa mambo kama haya yanatokea kukamata mtu katika " WRONG PLACE and WRONG TIME"...
Lakini tusubiri reporti ya FBI hao mababa riwaya yao ni nini? Hakuna siri itakayo fichwa milele!!
good luck.
 
Aisee tumasubiri mtuambie alie husika, maana hatusikii Kama Victor mwendesha Bodaboda nae kaachiiwa. ndio aachiwe kwani na Yeye ilitokea tu akambeba abiria hadi kwenye eneo la tukio.

Mkuu mwendesha bodaboda si wakutoka leo, si unajua tunavyothamini wageni kuliko wananchi wetu, si ajabu pamoja na kuwaachia lakini pia Rais wetu kaomba msamaha......si unajua ziara za Arabuni ndio zimeanza.
 
Sishangazwi hata kidogo na jambo hili. Tumezidi kujikomba umangani mpaka inatia aibu. Naona mkuu wa kaya baada ya kuona kimeanza kunuka Ulaya na Marekani wameshaanza kumstukia, sasa kageuza uso anatembeza bakuli nchi za kiarabu. Ndiyo sababu kila kukicha yuko huko na anadiriki 'kuwabembeleza' waje kuwekeza Tanzania kiasi cha kuwapa 'uhuru' wa kuitumia nchi yetu na rasilmali zake kwa namna wanayotaka wao. Hata wamasai sio kitu mbele ya maswahiba wake wa kiarabu; wanahamishwa kutoka kwenye ardhi yao ili wapewe waarabu, ndege zinabeba wanyama wetu kupeleka huko Arabuni mchana kweupe. Sembuse leo wakija kutulipua ataweza kufurukuta?

Tuamke nchi imeshauzwa. Waswahili husema ukiona manyoya jua kashaliwa... Kazi ni kwetu sisi wenye uchungu na nchi yetu kufanya mabadiliko kabla hatujageuzwa wote kuwa watumwa nchini mwetu.

Inawezekana, timiza wajibu wako - Mwalimu Nyerere.
hivi tatizo rais ndio kasema watolewe au hawana kosa?tatizo lenu mnajua kila mwarabu anaripua,,sasa badala ya kipindi kile kumtafuta alie ripua mmewakimbilia warabu wawatu na kuwaacha walio husika leo waarab hawana kosa mnaleta mambo ooh wamasai,,ooh wanapewa rasilimali,,rasilimari zinafaida gani kwako wakati hujui hata kuzitumia?mbona hamsemi migodi wala mzuungumzii gas,,au kwakua waliopewa viunga huko ni waraab ndio inakukereni?kwani wamepewa na nani?hii nchi ya democrasia au ya kidicteta?maana kila kitu anatupiwa zigo raisi kama yeye ndio aliamua peke yake wapewe,,nini bwana asidhulumiwe mtu kwa ajiri ya kabila lake au dini yake,,mkiitwa makafiri mnalalamika
 
wala siamini macho yangu!
lakini kuna mmoja humu aliweka post kuwa kama wameshindwa kuchunguza ya lwakatare sembuse ya arusha?
na hapo wale watukuka FBI wapo...ndo maana nilisema kuwa wale jamaa walikua not guilt from the get go.

Sasa ngoja tuone umahili wa wasifiwa sana Fbi.
 
Nawasikitikia vijana wetu waendesha bodaboda! watasota sana na hii kesi
 
Waarabu wametuhumiwa ugaidi wameachiwa Lwakatare hakimu ameenda Likizo ,KIkwete utakuja kujibu haya siku moja
 
Usikute wanaogopa kuwa na uhusiano mbaya na hizo nchi hata kama hao watu wamehusika ee!Kama hawakuhusika ilikuwaje wakawashikilia kwa muda wote huo?na kama wamehusika ikawaje wakaachiwa?Hii imekuja baada ya Bernard Membe kwenda Arusha ina maana Polisi hawakuona hana hatia ila Membe?
 
Udini hautaisha mpaka tutakapoitoa CCM madarakani.Kinara wa udini Nchini ni M/Kiti wa CCM Dr Jakaya Kikwete.by G.Lema.
sizani kama kitakuja chama ambacho kitaondoa kitu udini,,na kama unabisha niambie kikiingia chadema udini utaondolewa vipi,,na ccm wanaupractiz vipi,,niambie nielewe mi sio mwanasiasa wala sina chama cha siasa..na wala mpango sina ila ninaona mambo yanavyoenda kwakua nipo nchini
 
hivi tatizo rais ndio kasema watolewe au hawana kosa?tatizo lenu mnajua kila mwarabu anaripua,,sasa badala ya kipindi kile kumtafuta alie ripua mmewakimbilia warabu wawatu na kuwaacha walio husika leo waarab hawana kosa mnaleta mambo ooh wamasai,,ooh wanapewa rasilimali,,rasilimari zinafaida gani kwako wakati hujui hata kuzitumia?mbona hamsemi migodi wala mzuungumzii gas,,au kwakua waliopewa viunga huko ni waraab ndio inakukereni?kwani wamepewa na nani?hii nchi ya democrasia au ya kidicteta?maana kila kitu anatupiwa zigo raisi kama yeye ndio aliamua peke yake wapewe,,nini bwana asidhulumiwe mtu kwa ajiri ya kabila lake au dini yake,,mkiitwa makafiri mnalalamika
rasilimari gani mkuu,eti kale katwiga kamoja na vidigidigi kadhaa ambavyo thamani yake haifiki hata milioni tano ,ishakua issue hadi leo.wacanada wanahamisha macontainer ya mchaga wa dhahabu mchana kweupe,mchanga wa mabilioni ya dola wao wamekazania twiga mmoja wa milioni tatu ambae alikua airlifted five years ago.
 
hivi tatizo rais ndio kasema watolewe au hawana kosa?tatizo lenu mnajua kila mwarabu anaripua,,sasa badala ya kipindi kile kumtafuta alie ripua mmewakimbilia warabu wawatu na kuwaacha walio husika leo waarab hawana kosa mnaleta mambo ooh wamasai,,ooh wanapewa rasilimali,,rasilimari zinafaida gani kwako wakati hujui hata kuzitumia?mbona hamsemi migodi wala mzuungumzii gas,,au kwakua waliopewa viunga huko ni waraab ndio inakukereni?kwani wamepewa na nani?hii nchi ya democrasia au ya kidicteta?maana kila kitu anatupiwa zigo raisi kama yeye ndio aliamua peke yake wapewe,,nini bwana asidhulumiwe mtu kwa ajiri ya kabila lake au dini yake,,mkiitwa makafiri mnalalamika

Wakuu, tusichanganye
Jioni njema, hutokea kukamata randomly; Mwezi jana kwenye tokeo la Boston Marathon bomu, Tangazo la kwanza kabisa wamerekaniUS na taaluma zote za kiintelijensia baada ya mripuko tu walitangaza eti Msaudi ndo mhusika na ni kijana mwanafunzi tumemkaribia kumweka nguvuni !! (hapo boston peke kuna wanafunzi zaidi ya elfu5 wa kisaudia) Looh,
Wakuu hao baadaye kupeleleza waka geuza kibao na kuomba radhi na kutoa taarifa ingine kuwa walotenda ni wa CHECHENIA/warussi. eti wanafanana, Sasa mambo kama haya yanatokea kukamata mtu katika " WRONG PLACE and WRONG TIME"...
Lakini tusubiri reporti ya FBI hao mababa riwaya yao ni nini? Hakuna siri itakayo fichwa milele!!
good luck.
 
Exactly. That is what it means.


Jioni njema, hutokea kukamata randomly; Mwezi jana kwenye tokeo la Boston Marathon bomu, Tangazo la kwanza kabisa wamerekaniUS na taaluma zote za kiintelijensia baada ya mripuko tu walitangaza eti Msaudi ndo mhusika na ni kijana mwanafunzi tumemkaribia kumweka nguvuni !! (hapo boston peke kuna wanafunzi zaidi ya elfu5 wa kisaudia) Looh,
Wakuu hao baadaye kupeleleza waka geuza kibao na kuomba radhi na kutoa taarifa ingine kuwa walotenda ni wa CHECHENIA/warussi. eti wanafanana, Sasa mambo kama haya yanatokea kukamata mtu katika " WRONG PLACE and WRONG TIME"...
Lakini tusubiri reporti ya FBI hao mababa riwaya yao ni nini? Hakuna siri itakayo fichwa milele!!
good luck.
 
Kukamatwa kwa wale wasaidia watatu ulikuwa ni mpango wa marekani kutaka kulihusisha lile jambo na ugaidi wa kiislam. Kuachiwa huru ji haki yao kwani wamechunguzwa na imebainika kuwa hawana hatia
 
Back
Top Bottom