ProveThat is not my concern..the key issue here is why are we not ready to accept the truth that Bombardier Q400 ni kimeo? Hizi ni ndege zinazotengenezwa special for irrigation purpose and not kubeba abiria.
ProveThat is not my concern..the key issue here is why are we not ready to accept the truth that Bombardier Q400 ni kimeo? Hizi ni ndege zinazotengenezwa special for irrigation purpose and not kubeba abiria.
Unaniuliza mi mambo ya mbowe mi mama yake?Unafikiri kwanin mbowe asipo lipa Kodi inakuwa big story ??? hata hao wengine hawalipi lkn ,vyombo vya habari vipo kimya ...
Naona sasa mmeanza kuelewa kuwa wapi tulikosea!siku hii ndege ikipotea angani au kuanguka kuna wajinga watachinja kuku na kupika pilau...
Halafu wa tz acheni mambo ya kijinga ndege zimenunuliwa mbovu halafu mnataka tujipe matumaini kwa lipi hasa! Baba yenu kachemka na simalayake ya kwanza kuchemkaPlease..hata kama unamchukia Magufuli! For heaven sake..wanaozitumia ni waTanzania wenzako. Sio kila kitu ni siasa za chuki. Unadhani wakipoteza maisha wewe utafaidika nini? au ulitaka hizi ndege zisinunuliwe?? au ulitaka zinunuliwe vipi kusudi zikidhi vigezo vyako?
Kutofautiana kisiasa kitu cha kawaida..ila sasa maoni yako yamejengwa kwenye taswira ya chuki iliyopitiliza dhidi ya Magufuli.
Hivi what exactly do you want him to do?
Otherwise jipange uwa-convince waTanzania kwamba Magufuli hafai in 2020. But for now, just get used to this guy. He is the President. Mengine ni porojo tuu.
Na hivyo viti humo ndan n vyann? Au vyakuwekea majag na ndoo za kumwagilia???That is not my concern..the key issue here is why are we not ready to accept the truth that Bombardier Q400 ni kimeo? Hizi ni ndege zinazotengenezwa special for irrigation purpose and not kubeba abiria.
Kitwanga alitoa angalizo wakasema anaona wivu kwakua alitumbuliwa. Baba jesca ni mbishi sana na hapo mengi yataonekana[HASHTAG]#technically[/HASHTAG] Fungeni kabisa, muombe siku40
Kitwanga alitoa angalizo wakasema anaona wivu kwakua alitumbuliwa. Baba jesca ni mbishi sana na hapo mengi yataonekana[HASHTAG]#technically[/HASHTAG] Fungeni kabisa, muombe siku40
Sisi siyo wachingajiTuziombee ndege zetu"
Unataka kujinasibu kwamba ni Tanzania pekee yenye ndege aina hii? Au mazuri mnakuwa mnayakalia kimya likitokea baya chembe mnaanza kunyanyua vinywa vyenu kipumbavuKitwanga alitoa angalizo wakasema anaona wivu kwakua alitumbuliwa. Baba jesca ni mbishi sana na hapo mengi yataonekana
Unajua tofauti ya matumizi ya "outside" na " out of"Ya irrigation haitakiwi kuwa salama? Je, hizo za Irrigation hazitumii marubani au zinatumia robot na kama ni binaadam yeye haijalishi usalama wake? Think outside the box my boss.
Hilo linalotakiwa kutokea na aliyezinunua awepo ndani ya ndege.Kuna siku, ipo siku. Litakalo tokea huko mbele sijui.
Naam yule wa chato.hayo makubwa yatatokea siku akipanda ndugu yako.