Mmenunua ndege kifisadi na kibabe hayo ndio matokeo na bado tyuashuhudia mengiKama nawaona Bawacha na Ukawa wanavyo fanya sherehe.
Mmenunua ndege kifisadi na kibabe hayo ndio matokeo na bado tyuashuhudia mengiKama nawaona Bawacha na Ukawa wanavyo fanya sherehe.
zililetwa mabovu za nini kwa uharaka upi???ngoja ziueItatengenezwa. Kwa vile hakuna maafa hakuna tatizo. Mungu Ibariki Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Ni Kawaida chombo chochote kuwa hitilafu za kiufundi.
Kipi cha ajabu hapo kwani hiyo ndio ndege ya kwanza kupata hitilafu duniani au ndio ushamba huo wa kupanda ndege kwenye videoNdege mpya iliyo nunuliwa na serikali yetu tukufu aina ya bombardier imeshindwa kuruka toka uwanja wa ndege wa Mwanza kutokana na hitilafu za kiufundi. Hiyo ni ndege mpya
Chanzo msgazetini
watashuka wasukume kuishtuaHizi ndege zakuogopa kama ukoma zinaweza zima zikiwa angani
Hahahaa waliambiwa na kitwanga hiyo midege mibovu,watu eeeeeh eeeeh mpya zimelipwa cash sasa mdege gani zinashtuliwa kama bedfordza enzi hizooo!!!watashuka wasukume kuishtua