Bombardier Q400 yapata hitilafu Mwanza

Bombardier Q400 yapata hitilafu Mwanza

Waulizeni bombadier waliwezaje kujenga ndege tatu mpya ndani ya miezi sita, hakuna project ya namna hiyo katika aviation manufacturing industry kuna kitu kinahitaji majibu ya haraka, otherwise tutarajie janga kubwa katika katika eneo hilo.
Mkuu serikali ilinunua ndege mbili sio tatu, hiyo ya tatu ilikuwepo toka zamani inapiga route za Kigoma. Hizo ndege tatu unazozungumzia kutengenezwa ndani ya miezi sita kwamba haiwezekani unatumia criteria gani? Nipo kwenye aviation industry....
 
Hii itakua sherehe kwa wafanyabiashara wa Ufipa kama ikija Kupotea.
 
That is not my concern..the key issue here is why are we not ready to accept the truth that Bombardier Q400 ni kimeo? Hizi ni ndege zinazotengenezwa special for irrigation purpose and not kubeba abiria.
jamani ebu msitutoe roho kumbe ni za umwagiliaji basi ipo siku watu watamwagwa
 
faults katika ndege ni kitu cha kawaida.Bahati mbaya hawakushare ni fault gani ndio mana watu wanaongea vitu vya ajabu ajabu
 
Dream Liner Boeing 787 zilipoingia sokoni zilikuwa na matatizo. Kwani zilikuwa mtumba. Ukisoma mambo mengi humu jamii forum utafikiri nchi haiendi. Watu 15 wameokolewa kwenye mdogi wa madini juzi. Nilitegemea ingekuwa top news; tumebaki na pangaboi. What a shame!
 
Bombardier Q400,a national carrier!kila siku hitilafu za kiufundi.Hii ndo itakwenda kuleta watalii moja kwa moja kutoka urusi na china(non stop flight)?I doubt.
 
FB_IMG_1485503100752.jpg
 
Back
Top Bottom