Huwa najiuliza sana maswali haya? What has Magufuli, Mwakyembe, Tibaijuka done in other regions that worth recognition? The answer is NOTHING!! Wote ni mawaziri wa Dar!!
Mkuu wewe ungetakaje sasa
Huu ni upuuzi wa viongozi wetu, wao kila kitu lazima kiwe Dar. Upuuzi mtupu
Yale yale ya kiwanda cha sigara kuwa Dar! Cha nguo Dar! Raw materials Tabora and Lake zone? Why not Lake zone?[/Q
Na market kubwa ipo wapi?
tuombe tuendelee kuwa na hii amani, ikitokea vita tumeisha, Ukipiga ubungo tu nchi yote giza....., na system pamoja na uongozi wote upo centralizes Dar
Mkuu nnacho kijua ni kwamba hio gesi itatumika kwa matumizi mengi kama majumbani, viwandani n.k pamoja na hilo la umeme ambalo ndio kipaumbele ndo mana gesi inaletwa Dar badala ya kufua umeme uko uko
Ni kweli wazungu hawawapendi Wachina mpaka basi!, ila pia hizi kampuni za China na hii benki ya Exim, sii bure iko namna!. Nakumbuka kisa cha Nundu na Mfutakamba!, wote walikwenda na maji!.
Mambo huwa kama hivi ifuatavyo
- Kampuni ya Kichina hufanya visibility study ya mradi!
- Kampuni hiyo huandaa proposal na gharama za mradi usually very high inflated rates!,
- Kampuni hiyo hutafuta mkopo wa riba nafuu toka kutoka Exim Bank ya China!, Ili riba iwe nafuu, repayment period huwekwa ndefu from 50 years on!.
- Serikali hutakiwa kutoa "government guarantee"!.
- Kampuni hiyo ya Kichina itafanya management ya mradi kwa kipindi chote cha hiyo miaka 50 mpaka deni likishalipwa lote ndipo Tanzania tutakabidhiwa mradi, by then life span ya mabomba na mitambo itakuwa almost end of its life span!.
- Tukishakabidhiwa mradi, then there will be a need to replace mabomba na old worn out machinery, hivyo China will bail us out kwa mkopo mwingine nafuu wa 50 years nyingine!.
- Kwa vile wachimbaji wote wa gesi ni makampuni ya wazungu, ili watuibie gesi yetu, kama msafirishaji wa gesi yote ni Mchina, na endapo serikali yetu itagoma kabisa kuruhusu mitambo ya baharini, then kuna uwezekano baadhi ya makapuni wezi wa kizungu, wakasusa kuendelea kutafuta gesi!.
Huwa najiuliza sana maswali haya? What has Magufuli, Mwakyembe, Tibaijuka done in other regions that worth recognition? The answer is NOTHING!! Wote ni mawaziri wa Dar!!
Mkuu Bukya, Wachina wa enzi za Chairman Mao sio hawa wa leo!. Fuatilia kisa cha deal ya upanuzi wa Bandari!.Mkuu PASCO kama Wachina wangekuwa ni watu wanao zungumza with a forked tongue basi hilo lingeonekana kwenye project za Ujenzi wa TAZARA, Urafiki textile, UFI, Mzinga Corp, Mang'ula, Concrete plant Mbeya, Upanuzi wa Twiga Cement, Ujenzi wa Ukumbi wa Bunge, Ujenzi wa Ukumbi wa Jego la AU pale Adis, Mabarabara, Mchuchumaa/Liganga project etc.
Wenzetu Kenya siku hizi wako karibu sana na Wachina na wanawatumia kikamilifu kuendeleza TAIFA lao, muda si mrefu Kenya itapiga hatua kubwa sana ya maendeleo, Wakenya wanaona mbali SANA. Nenda Angola utashuhudia maajabu ya Wachina - just to mention a few!
Mkuu tuwe wakweli we're better off tukishilikiana na na Wachina kuliko Mataifa mengine specifically nchi za magharibi, Wachina hawa ingilii internal affairs za nchi zinazopewa misaada na wao - wanatoa misaada bila ya ku-attach strings zozote.
Ikifika Dar es salaam nini kinafuatia?Kama itasafirishwa mikoani kama umeme nafikiri changamoto ya kihandisi uliyoisema itabaki palepale.
Hii ni sawa
Songo Songo mpaka Dar ni zaidi ya kilomita 200 tuliruhusu wachimbie bomba la gasi badala ya kufua umeme Songo Songo na kuvuta waya mpaka dar (na kwingine). Anayetabasamu mpaka benki ni mkanada mwenye kandarasi ya kumaintain bomba na mitambo yake.
Sasa naambiwa Mnazi Bay mpaka Kinyerezi ni kilomita 550. Safari hii ni sisi wenyewe tunachimbia bomba. Gharama za bomba, uchimbaji, fidia ya linamopita, compressors za kusukuma gasi na maintanance zake na mengineyo.
Hivi vyote kweli inakuwa rahisi kuliko kuprocess gasi na kufua umeme hapo Mnazi Bay na kusambaza umeme kutokea hapo?
Je ingekuwa vibaya kusambaza viwanda na ajira mpaka huko kusini?
Nani anafaidika na hii shughuli ya kufikisha gasi Dar?
kweli mkuu! Mi linanikera saana hili jambo. Na walaaniwe wote wanaofikiri kila kitu lazima kiwe Dar!
........
Hii ni sawa
Songo Songo mpaka Dar ni zaidi ya kilomita 200 tuliruhusu wachimbie bomba la gasi badala ya kufua umeme Songo Songo na kuvuta waya mpaka dar (na kwingine). Anayetabasamu mpaka benki ni mkanada mwenye kandarasi ya kumaintain bomba na mitambo yake.
Sasa naambiwa Mnazi Bay mpaka Kinyerezi ni kilomita 550. Safari hii ni sisi wenyewe tunachimbia bomba. Gharama za bomba, uchimbaji, fidia ya linamopita, compressors za kusukuma gasi na maintanance zake na mengineyo.
Hivi vyote kweli inakuwa rahisi kuliko kuprocess gasi na kufua umeme hapo Mnazi Bay na kusambaza umeme kutokea hapo?
Je ingekuwa vibaya kusambaza viwanda na ajira mpaka huko kusini?
Nani anafaidika na hii shughuli ya kufikisha gasi Dar?
Bora ungeandika Kiswahili tu What has Magufuli, Mwakyembe, Tibaijuka done