kama gas hiyo ni kwa ajili ya kuzalisha umeme tu ingefaa mitambo hiyo ikawekwa hukohuko inapozalishiwa ila kama ni kwa ajili ya matumizi ya viwanda na majumbani acha mradi uendelee kwani una manufaa zaidi.
Nadhani ni wakati wa serikali sasa kuhimiza viwanda vipya kujengwa kusini sehemu ambapo gas inapatikana na si kulazimisha kujengwa ndani ya jiji hili tena.na ingefaa sasa tuone kuna mchakato wa kujenga miundo mbinu muhimu ili iwe rahisi kwa wawekazejaji kuja kuwekeza huko!mi swali langu watu wa kusini tutafaidika vipi na huu mradi?
Maana hiyo songosongo hatuoni faida yake zaidi ya kusifiwa tu
Mkuu Makupa, with due respect, kwenye mchango wangu huuSi lazima kuchangia kitu usichokijua mkuu , acha kabisa kupotosha
Mkuu Mkandara, asante kwa kulisemea hili!.
1. Gharama za kwanza za CCCC zilikuwa dola milioni 600 plus wajenge hizo gati mbili na kukarabati gati zingine zote kwa mchanganuo wa dola milioni 400 gati mpya na dola milioni 200 ukarabati!.
2. TPA wakawaambia waachane na ukarabati hivyo CCCC wakaleta makadirio mengine ya dola milioni 400 kujenga hizo gati 2.
3. Baada ya TPA kupata hayo makadirio wao TPA wakaandika barua wizarani kuwa wanataka udhamini wa serikali kuomba mkopo wa dola milioni 500!. Ina maana wao wameshaweka cha juu cha dola milioni 100!. Tena kimekuwa inserted kwa peni!.
4. Waziri Mkulo nae baada ya kupokea barua ya TPA serikali sasa ndio ikaiandikia barua Exim Bank ya China kuomba mkopo wa Dola milioni 527 ikiwa na cha juu zaidi cha dola milioni 27 za "wakubwa"!.
5. Ukisoma dokezo lenye dola milioni 600, 527 na 400 maneno mengine yote ni yale neno kwa neno!. Haiwezekani kuwepo kwa flactuations kubwa hivyo ya figures in terms of millions of dollars bila any explanations!.
6.Ukisikia high level corruption ndio hii!. Mijitu mijizi inataka kuwaibia Watanzania, Nundu ameishtukia dili sasa ndio anapigwa vita kuzuia ulaji!.
7. Wajameni hapo kuna MOU tuu, bado hakuna mkataba wowote!. Hakuna mkopo wowote! na hakuna ujenzi wowote!. Hizi zote ni harakati za kundi la mijizi ndidi ya harakati za wazalendo kuinusuru nchi!.
Pasco.
Pole sana kwa ujuha wako kuhusu gesi. Matumizi ya gesi si kuzalisha Umeme tu. ingia google utaelimika sana kuhusu matumizi Mengi ya gesi badala ya mtu mzima kufuata, kutafuta na kupata aibu hapa JF. kukusaidia, na leo ndo mwisho kukusaidia uwe unafanya uchunguzi wa kina Kabla hujatoa mada Ni kuwa hapa Dar baadhi ya Viwanda vinatumia gesi asili. Fuatilia pia Hansard za Bunge Kwenye tovuti ya Bunge maana nakumbuka siku moja kusikia idadi ya Viwanda hivyo ink itakuwa.Hii ni sawa
Songo Songo mpaka Dar ni zaidi ya kilomita 200 tuliruhusu wachimbie bomba la gasi badala ya kufua umeme Songo Songo na kuvuta waya mpaka dar (na kwingine). Anayetabasamu mpaka benki ni mkanada mwenye kandarasi ya kumaintain bomba na mitambo yake.
Sasa naambiwa Mnazi Bay mpaka Kinyerezi ni kilomita 550. Safari hii ni sisi wenyewe tunachimbia bomba. Gharama za bomba, uchimbaji, fidia ya linamopita, compressors za kusukuma gasi na maintanance zake na mengineyo.
Hivi vyote kweli inakuwa rahisi kuliko kuprocess gasi na kufua umeme hapo Mnazi Bay na kusambaza umeme kutokea hapo?
Je ingekuwa vibaya kusambaza viwanda na ajira mpaka huko kusini?
Nani anafaidika na hii shughuli ya kufikisha gasi Dar?
Ungeuliza kwanza gharama za kuleta gas hadi DAR ni kiasi gani, na gharama za kuzalisha umeme Mnazi Bay na kujenga miundo mbinu ya kuuleta huo umeme ni kiasi gani. Baada ya kupata hizo gharama, ndio ungeanza kuhoji ni kwa nini uamuzi umefanywa. Tusiwe na mazoea ya kuanza tu kuponda vitu au maamuzi bila kufanya utafiti. Huna haja ya kuwa mtaalamu ufanye hizo hesabu mwenyewe. Uliza kwa watu wenye kujua hizi hesabu ndio wakueleze. Watu wengi tunayo mazoea ya kukurupuka na kuzungumza kwa jazba kwenye maswala ambayo tuko mbumbumbu
Kisamo nakuunga mkono ,hapa jamii forum imevamiwa na kundi la watu wanaojifanya kuwa wao ni mabingwa wa kila ,ili uonekane wa maana hapa jf ni lazima uwe bigwa wa uongoUngeuliza kwanza gharama za kuleta gas hadi DAR ni kiasi gani, na gharama za kuzalisha umeme Mnazi Bay na kujenga miundo mbinu ya kuuleta huo umeme ni kiasi gani. Baada ya kupata hizo gharama, ndio ungeanza kuhoji ni kwa nini uamuzi umefanywa. Tusiwe na mazoea ya kuanza tu kuponda vitu au maamuzi bila kufanya utafiti. Huna haja ya kuwa mtaalamu ufanye hizo hesabu mwenyewe. Uliza kwa watu wenye kujua hizi hesabu ndio wakueleze. Watu wengi tunayo mazoea ya kukurupuka na kuzungumza kwa jazba kwenye maswala ambayo tuko mbumbumbu
ni zipi sasa? Si tunalaumu kila kitu kuwa Dar? Why?
Wakuu heshima mbele
Naona kuna kitu mnamiss hapo, gesi inayoletwa Dar es Salaam sio kwa ajili ya umeme pekee! Umeme ni primary ila itatumika pia kwenye viwanda! Kuna mashine za viwandani za kisasa nyingi zinatumia gas!(LNG). Na nnadhani hata wale waCanada wa Songas wanfanya biashara hito tayari kuna viwanda vimeshaunganishwa kwahito tatitzo sio usafirishaji wa gesitatizo ni strategy zetu zilizojaza viwanda Dar es Salaam
.....Pamoja na hayo lakini nadhani katika mikoa itakayokuja kuwa na maendeleo makubwa ya kiviwanda ni hapo Lindi na Mtwara na hata investors wameshaliona hilo SIO kwasababu ya umeme ila kwasababu ya GESI inayotumika mojakwamoja bila kuhitaji kuibadilisha kwenda kwenye umeme!
.....Yule tajiri wa kiNigeria guru wa Cement anajenga kiwanda huko tayari
Wakuu heshima mbele
Naona kuna kitu mnamiss hapo, gesi inayoletwa Dar es Salaam sio kwa ajili ya umeme pekee! Umeme ni primary ila itatumika pia kwenye viwanda! Kuna mashine za viwandani za kisasa nyingi zinatumia gas!(LNG). Na nnadhani hata wale waCanada wa Songas wanfanya biashara hito tayari kuna viwanda vimeshaunganishwa kwahito tatitzo sio usafirishaji wa gesitatizo ni strategy zetu zilizojaza viwanda Dar es Salaam
.....Pamoja na hayo lakini nadhani katika mikoa itakayokuja kuwa na maendeleo makubwa ya kiviwanda ni hapo Lindi na Mtwara na hata investors wameshaliona hilo SIO kwasababu ya umeme ila kwasababu ya GESI inayotumika mojakwamoja bila kuhitaji kuibadilisha kwenda kwenye umeme!
.....Yule tajiri wa kiNigeria guru wa Cement anajenga kiwanda huko tayari
adilli
Kama ni mdau unayefuatilia haya maswala ya gesi nadhani utakua ushasikia kauli moja ya meneja mmoja kwenye vitalu pale rasi ya Songosongo, mpaka sasa hivi kuna visima vimeshachimbwa viko tayari ila watumiaji hakuna na naomba ukumbuke kuwa plan ya lile bomba la Songas haikua kuuza kwa private industries ilikua ni ya tanesco peke yake ila waliuza surplus tu na ile pipe imeshafikia maximum yake sasa hivi lakini viwanda vipo vingi vinapeleka maombi waonganishiwe kwasababu its much cheaper kuliko umeme
.....kwahiyo ilikua i lazima ifanyike namna hiyo gesi ivifwate viwanda lakini in long term plan viwanda watafuata gesi wenyewe kule kusini! Gesi ni nafuu mno huwezi amini
Mkuu Gobore,
Viwanda vichache vinavyotumia LNG vingeendelea kumtegemea Songo Songo. Viwanda vipya vyenye mahitaji ya LNG vielekezwe huko kusini. Hii ingekuwa ni usambaaji wa viwanda kuelekea maeneo ya Tanzania ambayo kwa kweli ni kama yalisaauliwa. Tanzania siyo Dar au pwani peke yake.
kama mna vingozi wapumbavu na bado mnawachagua tu, basi faida yenu ni sifa tu inatosha, kwani kama mtambo ungekuwa mtwara gesi na umeme ukifika dar na sehemu zote ulikopita mradi ni stahili yao, na sasa inanyesha watu walio na sifa ya kutumia umeme na gesi ni wa dar baada ya hapo kusini itafikiriwa, kama unabisha nenda shinyanga wana sifa kweli ya kutoa almasi lakini wenyewe wanapata madhara yatokanayo na kemikalimi swali langu watu wa kusini tutafaidika vipi na huu mradi?
Maana hiyo songosongo hatuoni faida yake zaidi ya kusifiwa tu
Pole sana kwa ujuha wako kuhusu gesi. Matumizi ya gesi si kuzalisha Umeme tu. ingia google utaelimika sana kuhusu matumizi Mengi ya gesi badala ya mtu mzima kufuata, kutafuta na kupata aibu hapa JF. kukusaidia, na leo ndo mwisho kukusaidia uwe unafanya uchunguzi wa kina Kabla hujatoa mada Ni kuwa hapa Dar baadhi ya Viwanda vinatumia gesi asili. Fuatilia pia Hansard za Bunge Kwenye tovuti ya Bunge maana nakumbuka siku moja kusikia idadi ya Viwanda hivyo ink itakuwa.
Yale yale ya kiwanda cha sigara kuwa Dar! Cha nguo Dar! Raw materials Tabora and Lake zone? Why not Lake zone?
kiwanda gan!?
mkuu kwani hii gas ni LNG??sio NG tu??
sio anesco,bomba la awali lilikuwa kwa ajili ya twiga cement na songas ndugu