Unashangaa hayo tu mkuu,hata kuoa,watu wanaoa Dar,mtu kwao Namtumbo na kakulia huko,lakini mke anatafuta hapo hapo Dar.
Harusi anafungia Dar na ndugu kama 6 au 7 anawasafirisha kutoka Namtumbo kuja Dar kwenye harusi,badala ya wao wawili tu kusafiri kwenda kufunga harusi huko Namtumbo.
Mwingine yuko mikoani huko anafanya kazi,anapata mchumba hukohuko countyside,ila kwa sababu alishawahi kuishi Dar kidogo na anandugundugu tena wengine ni wakuunga unga anataka au anakuja kufunga harusi Dar au kufanyia send of Dar.
Huku akisafirisha ndugu zake kutoka mkoa mwingine tofauti na anakoishi kuja Dar , we acha tu,kuna watu wameikariri Dar hata uwape kazi ya maana mkoani hawaendi kisa Dar, duuuh,Dar kuna nini wajameni?
Ni ujinga wa think tank ya taifa