Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,725
- 12,105
Zitto ameingiaje kwenye maswala ya kulipuka gas?Kumbe wewe ni genge la Zitto?
Zitto ameingiaje kwenye maswala ya kulipuka gas?Kumbe wewe ni genge la Zitto?
Muulize aliyemtaja huko juu na mimi nikamguote!Zitto ameingiaje kwenye maswala ya kulipuka gas?
Acha upumbavu we kipisi cha bangi mwehu ww bila kumtaja taja Zito 0713 yako inakuwasha????Hizi ni habari nzuri kwa zitto na genge lake
State agent
Utanyooka tu wewe asshole kwa matusi yako!Acha upumbavu we kipisi cha bangi mwehu ww bila kumtaja taja Zito 0713 yako inakuwasha????
Ulitaka hivyo vyombo vya usalama viimeze hiyo gas au?? Jamani, tuache kulaumu laumu tu tuje na wazo. Labda tuseme, kwenye chanzo kufungwe, na hata uzalishaji usimame kwanza sio vyombo vya usalama kulaumiwa
Mbona saa 3 haijafika au una maana saa 3 asubuhi?Imefungwa muda ila sasa inayoendelea kuvuja ni iliyo njiani. Hadi sasa saaa 3 bado iko kwenye high pressure. Sijui tutatoka saa ngapi
Bado hakuna habari latest, ie kama hali imeshadhibitiwa n.k.?
Mwenyezi Mungu SW awajalie mtoke tu salama. Chonde chonde asiwepo mvuta sigara karibu namyiImefungwa muda ila sasa inayoendelea kuvuja ni iliyo njiani. Hadi sasa saaa 3 bado iko kwenye high pressure. Sijui tutatoka saa ngapi
Atanyooka kwanza aliyeyatua kilaza kama ww kule leba ndo nifuatie mm.Utanyooka tu wewe asshole kwa matusi yako!
Huyo jamaa itakua ni wale wanaosemaga "oyeeee!!!" Kwenye mikutano
Mwenyezi Mungu SW awajalie mtoke tu salama. Chonde chonde asiwepo mvuta sigara karibu namyi
Nikwamba Mitambo kule Songo songo imezimwa na kufunga bomba na bungu bomba linalopeleka kinyerezi limefungwa. Tuna subilia Gas iliyopo hapo hati kati so iishe kabisa ndio tupite, huenda ikawa kesho. Tupo Somanga tunakunywa supu ya Samakai
Lazima Kuna watu wamechota gesi wasakweHabari ya muda hii. Bomba la gesi limepasuka maeneo ya somanga taharuki imetanda maeneo haya. Vyombo vya ulinzi na usalama kama kawaida hawatoi elimu kwa wananchi wapo tu wamezagaa hovyo. Tanzania hatujifunzi kabisa kuepuka majanga. Magari yote yanayotoka Dar es Salaam na kwenda Dar es Salaam hayapiti.
Inasemekana right moto ungeweka ungeweza unguza wilaya yote y kilwa. Nimeshangaa sana kwa kweli.
Lazima Kuna watu wamechota gesi wasakwe