Bollywood and hollywood wapi wakali wa movie!!?

Elvis Presley - Mean woman blues.

 
Last edited by a moderator:
Nyie mnaosema bollywood zaidi ya Hollywood ebu tutajieni movie kumi za bollywood zilizovunja record duniani kama za Hollywood.
 
kwa wapenzi wa bollywood watafute hii movie (My name is Khan and iam not terrorist) very sensational chozi linaweza kumwagika.

 
Last edited by a moderator:
Nyie mnaosema bollywood zaidi ya Hollywood ebu tutajieni movie kumi za bollywood zilizovunja record duniani kama za Hollywood.

Mkuu ushasema hiyo ni hollywood huwezi ukakuta movie ya bollywood... ! sawasawa na kili music awards uwakute kina lil wayne na nicki minaj..! hollywood wazuri sikatai, but bollywood mzee achana nao..
 
kwa mujibu wa idhaa ya kiswahili ya sauti ya ujerumani..sikumbuki tarehe ila ni mwezi wa 3 mwaka 2011 kwenye habari ya saa 7 mchana...HOLLYWOOD ni ya kwanza kwa ubora,mauzo,wingi wa kazi za filamu,umaarufu,ya pili BOLLYWOOD,ya tatu NOLLYWOOD...TOLLYWOOD sina uhakika ni ya ngapi...binafsi nilizipenda sana muvi za kihindi za miaka ya 70,80....lakini za sasa zinareflect utamaduni wa magharibi nami sipendi hilo..TOLLYWOOD wanajitahidi sana lakini hakuna uhalisia wa maisha ya watanzania na utamaduni wao,pia waandaaji wanatarget soko la nchini pekee tena la muda mfupi tu...NAWASILISHA
 
Minadhan bollywood ni wakali kwan wanahisia za ukweli, mfumo wao wakupangilia matukio unavutia vilevile nirahisi kuielewa movie hatakama hujui lugha wanayo tumia.. Bollywood ndio best
 
kwa mujibu wa idhaa ya kiswahili ya sauti ya ujerumani..sikumbuki tarehe ila ni mwezi wa 3 mwaka 2011 kwenye habari ya saa 7 mchana...HOLLYWOOD ni ya kwanza kwa ubora,mauzo,wingi wa kazi za filamu,umaarufu,ya pili BOLLYWOOD,ya tatu NOLLYWOOD...TOLLYWOOD sina uhakika ni ya ngapi...binafsi nilizipenda sana muvi za kihindi za miaka ya 70,80....lakini za sasa zinareflect utamaduni wa magharibi nami sipendi hilo..TOLLYWOOD wanajitahidi sana lakini hakuna uhalisia wa maisha ya watanzania na utamaduni wao,pia waandaaji wanatarget soko la nchini pekee tena la muda mfupi tu...NAWASILISHA

Sahamani, naomba msaada... hiyo yenye nyekundu ni movie industry ya nchi gani???
Na je? hizi "....llywood", ni lazima?
Formula gani imehalalisha hivyo kwamba industry yoyote lazima iwe hvyo, nikipata reference itakuwa heri!
Naomba ufafanuzi.
 
vp chinawood jamani full kungfu na makareti ehehehe....


hahahahahah lol eti chinawood....
Hao jamaa ni wakali sana, nmecheki "The IP MAN" aisee ni hainichoshi, hao jamaa ni wakali kuna baadhi ya movie za hollywood hao jamaa lazima watie mkono, mfano 2012!
Ni wakali kwa technolojia sana tu tena kuliko bollywood, ila visa vyao ni utata kidogo!
Ila nadhani "the ip man" ni movie kali sana kwa wachina ambayo nimeipenda sana, nadhani zipo nyingi tu
 
Back
Top Bottom