Sijui niwape jina gani, nisijeitwa na kamati kuhojiwa.
Tuna wawakilishi na watumishi hopeless ktk chi hii.
Umesikia dhamira ya AG kupinga hukumu iliyotolewa na mahakama kuu juu ya MaDED kuwa wasimamizi?? Je AG anafanya hivyo kwa maslahi ya nani au ni aibu ya kugalagazwa akiwa ndiye mshtakiwa( mlalamikiwa) kwenye kesi ile?? Anaona abu AG kushindwa hoja??
Huyo ni kada pia anaogopa ccm ikishindwa maslai yake yatakuwa shakani